Atakuwa hana mpngo kazi anaingia saa kumi alfajiri kutoka saa 6 usikuKati ya vijana vichwa waliopo nchi hii kwa sasa moja wao ni huyu mteule DED wa Korogwe, George John Nyaronga. Ni Mwalimu/Dr wa hesabu Open University....
Ni kijana mwenye uwezo mkubwa sana wa kuchanganua mambo. Ana IQ kubwa sana, ni jasiri, mjengaji wa hoja vizuri na kubwa zaidi ni muadilifu...
Nimefanya naye kazi nyingi sana kwa hakika wana~Korogwe wamepata jembe. Na kwa muda mfupi watanzania tutaona uwezo wa huyu kijana... Na ninamtabiria kufika mbali katika hii serikali ya Rais Magufuli!...
#Pongezi kwa Rais Magufuli
#Hongera sana wana~Korogwe... Tahadhari tu kwa watumishi wa Korogwe, mjiandae kufanya kazi, tena kwa bidii sana. Ni kijana asiye na mchezo katika kazi.... Anapiga kazi kwa juhudi zote, na msishangae mtakuwa mnamuona anafika ofisini saa 10 za alfajiri, na kutoka saa 6 usiku...
George ni kijana aliyekuwa mkurugenzi wa MSA marehemu John Nyaronga ni mjukuu wa Askofu mstaafu wa Anglikan dayosisi ya mara marehemu Nyaronga moja ya sifa yake ni kuwa pamoja na babake kuwa na ukwasi mkubwa wa mali lkn aliishi maisha ya kawaida km watoto wa maskini kabisaKati ya vijana vichwa waliopo nchi hii kwa sasa moja wao ni huyu mteule DED wa Korogwe, George John Nyaronga. Ni Mwalimu/Dr wa hesabu Open University....
Ni kijana mwenye uwezo mkubwa sana wa kuchanganua mambo. Ana IQ kubwa sana, ni jasiri, mjengaji wa hoja vizuri na kubwa zaidi ni muadilifu...
Nimefanya naye kazi nyingi sana kwa hakika wana~Korogwe wamepata jembe. Na kwa muda mfupi watanzania tutaona uwezo wa huyu kijana... Na ninamtabiria kufika mbali katika hii serikali ya Rais Magufuli!...
#Pongezi kwa Rais Magufuli
#Hongera sana wana~Korogwe... Tahadhari tu kwa watumishi wa Korogwe, mjiandae kufanya kazi, tena kwa bidii sana. Ni kijana asiye na mchezo katika kazi.... Anapiga kazi kwa juhudi zote, na msishangae mtakuwa mnamuona anafika ofisini saa 10 za alfajiri, na kutoka saa 6 usiku...
Na kwao ni pale Baruti musoma kule maeneo ya ziwani karibu na yule mzee Hassan Matambo ndiye jirani yako.Huyu ni mtoto wa marehemu John Nyaronga
Huu ujumbe ungemuandikia inbox Proff Maji Marefu au yule Mama Bubu wa KorogweKati ya vijana vichwa waliopo nchi hii kwa sasa moja wao ni huyu mteule DED wa Korogwe, George John Nyaronga. Ni Mwalimu/Dr wa hesabu Open University....
Ni kijana mwenye uwezo mkubwa sana wa kuchanganua mambo. Ana IQ kubwa sana, ni jasiri, mjengaji wa hoja vizuri na kubwa zaidi ni muadilifu...
Nimefanya naye kazi nyingi sana kwa hakika wana~Korogwe wamepata jembe. Na kwa muda mfupi watanzania tutaona uwezo wa huyu kijana... Na ninamtabiria kufika mbali katika hii serikali ya Rais Magufuli!...
#Pongezi kwa Rais Magufuli
#Hongera sana wana~Korogwe... Tahadhari tu kwa watumishi wa Korogwe, mjiandae kufanya kazi, tena kwa bidii sana. Ni kijana asiye na mchezo katika kazi.... Anapiga kazi kwa juhudi zote, na msishangae mtakuwa mnamuona anafika ofisini saa 10 za alfajiri, na kutoka saa 6 usiku...
KujisifuHivi tukianza kusifiana humu patatosha kweli.
Khaaa..... time will tell we unadhani kila jogoo akiwika ni asubuhi?! Huenda anaendaga kunynyizia ofisi madawa kama. yule mzee fulani aliyeonwa na za bunge.... akifanya yakeKati ya vijana vichwa waliopo nchi hii kwa sasa moja wao ni huyu mteule DED wa Korogwe, George John Nyaronga. Ni Mwalimu/Dr wa hesabu Open University....
Ni kijana mwenye uwezo mkubwa sana wa kuchanganua mambo. Ana IQ kubwa sana, ni jasiri, mjengaji wa hoja vizuri na kubwa zaidi ni muadilifu...
Nimefanya naye kazi nyingi sana kwa hakika wana~Korogwe wamepata jembe. Na kwa muda mfupi watanzania tutaona uwezo wa huyu kijana... Na ninamtabiria kufika mbali katika hii serikali ya Rais Magufuli!...
#Pongezi kwa Rais Magufuli
#Hongera sana wana~Korogwe... Tahadhari tu kwa watumishi wa Korogwe, mjiandae kufanya kazi, tena kwa bidii sana. Ni kijana asiye na mchezo katika kazi.... Anapiga kazi kwa juhudi zote, na msishangae mtakuwa mnamuona anafika ofisini saa 10 za alfajiri, na kutoka saa 6 usiku...
Na wachapaji wa taarifa za msemaji wa Ikulu.
Ni wa huku Musoma. Kaka yake anaitwa Peter nyaronga yupo wizara ya maliasili. Hamna cha ujiniasi wala IQ hapo
ALAANa kwao ni pale Baruti musoma kule maeneo ya ziwani karibu na yule mzee Hassan Matambo ndiye jirani yako.
Kati ya vijana vichwa waliopo nchi hii kwa sasa moja wao ni huyu mteule DED wa Korogwe, George John Nyaronga. Ni Mwalimu/Dr wa hesabu Open University....
Ni kijana mwenye uwezo mkubwa sana wa kuchanganua mambo. Ana IQ kubwa sana, ni jasiri, mjengaji wa hoja vizuri na kubwa zaidi ni muadilifu...
Nimefanya naye kazi nyingi sana kwa hakika wana~Korogwe wamepata jembe. Na kwa muda mfupi watanzania tutaona uwezo wa huyu kijana... Na ninamtabiria kufika mbali katika hii serikali ya Rais Magufuli!...
#Pongezi kwa Rais Magufuli
#Hongera sana wana~Korogwe... Tahadhari tu kwa watumishi wa Korogwe, mjiandae kufanya kazi, tena kwa bidii sana. Ni kijana asiye na mchezo katika kazi.... Anapiga kazi kwa juhudi zote, na msishangae mtakuwa mnamuona anafika ofisini saa 10 za alfajiri, na kutoka saa 6 usiku...
Usijekuwa ni wewe mwenyewe unajisifiaKati ya vijana vichwa waliopo nchi hii kwa sasa moja wao ni huyu mteule DED wa Korogwe, George John Nyaronga. Ni Mwalimu/Dr wa hesabu Open University....
Ni kijana mwenye uwezo mkubwa sana wa kuchanganua mambo. Ana IQ kubwa sana, ni jasiri, mjengaji wa hoja vizuri na kubwa zaidi ni muadilifu...
Nimefanya naye kazi nyingi sana kwa hakika wana~Korogwe wamepata jembe. Na kwa muda mfupi watanzania tutaona uwezo wa huyu kijana... Na ninamtabiria kufika mbali katika hii serikali ya Rais Magufuli!...
#Pongezi kwa Rais Magufuli
#Hongera sana wana~Korogwe... Tahadhari tu kwa watumishi wa Korogwe, mjiandae kufanya kazi, tena kwa bidii sana. Ni kijana asiye na mchezo katika kazi.... Anapiga kazi kwa juhudi zote, na msishangae mtakuwa mnamuona anafika ofisini saa 10 za alfajiri, na kutoka saa 6 usiku...
Ndio hivyo mkuuALAA
Kumbe DC ndio bosi wake mie nilidhani MADIWANI ndio mabosi wakeHata awe mtendaji mzuri vipi itabidi afuate maamuzi ya BOSS wake (DC)