Faru dume
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 471
- 116
Polen wadau!Mimi ni mtumiaji wa King'amuz cha Zuku lakini nina maswali matatu kuhusu Decoder ya zuku.
Swali la kwanza je? Decoder ya Zuku inaweza kuunganisha Tv mbili kwa Decoder moja?
Pili je decoder ya Zuku inaweza kurekodi vpindi?
Na tatu,je?Decoder ya zuku inaweza kutumia USB?
Asanteni.
Swali la kwanza je? Decoder ya Zuku inaweza kuunganisha Tv mbili kwa Decoder moja?
Pili je decoder ya Zuku inaweza kurekodi vpindi?
Na tatu,je?Decoder ya zuku inaweza kutumia USB?
Asanteni.