December: Mwezi wa Wachaga

Mandla Jr.

JF-Expert Member
Dec 15, 2013
3,099
630
Mwezi wa kurudi uchagani, Mwezi wa kufanya biashara, Mwezi wa kwenda kuchinja na kutoa sadaka.

Karibu December.
 
Mwezi wa kurudi uchagani...

Mwezi wa kufanya biashara..

Mwezi wa kwenda kuchinja na kutoa sadaka...

Karibu December.

mwezi wa kabila lako ni lini maana kila ukija Jf ni wachaga,Chadema, Godbless lema, na mji wa moshi haukuwi ...unataka bwana wa kichaga huwezi ukaangaika na upande mmoja wa eneo mwaka mzima lazima kuna kitu wamekushinda na huna namna zaidi ya kutoa huo wivu, chuki juu ya watu hawa.ukimaliza huu uzi anzisha mwingine wadada wa kichaga hawajui mapenzi,wachaga wataenda kwao kama makabila na jamii nyingine zinavyoenda kwao..!
 
mwezi wa kabila lako ni lini maana kila ukija Jf ni wachaga,Chadema, Godbless lema, na mji wa moshi haukuwi ...unataka bwana wa kichaga huwezi ukaangaika na upande mmoja wa eneo mwaka mzima lazima kuna kitu wamekushinda na huna namna zaidi ya kutoa huo wivu, chuki juu ya watu hawa.ukimaliza huu uzi anzisha mwingine wadada wa kichaga hawajui mapenzi,wachaga wataenda kwao kama makabila na jamii nyingine zinavyoenda kwao..!

kidogo umesaidia mkuu kuhusu ilo ila mtazamo wake tu katka kujenga hoja hapa #JF nice idea
 
usitake kunambia wachaga kila disemba wanatoa sadaa??? ya mtu au kitu gani
 
mwezi wa kabila lako ni lini maana kila ukija Jf ni wachaga,Chadema, Godbless lema, na mji wa moshi haukuwi ...unataka bwana wa kichaga huwezi ukaangaika na upande mmoja wa eneo mwaka mzima lazima kuna kitu wamekushinda na huna namna zaidi ya kutoa huo wivu, chuki juu ya watu hawa.ukimaliza huu uzi anzisha mwingine wadada wa kichaga hawajui mapenzi,wachaga wataenda kwao kama makabila na jamii nyingine zinavyoenda kwao..!

Ahsante.
 
mwezi wa kabila lako ni lini maana kila ukija Jf ni wachaga,Chadema, Godbless lema, na mji wa moshi haukuwi ...unataka bwana wa kichaga huwezi ukaangaika na upande mmoja wa eneo mwaka mzima lazima kuna kitu wamekushinda na huna namna zaidi ya kutoa huo wivu, chuki juu ya watu hawa.ukimaliza huu uzi anzisha mwingine wadada wa kichaga hawajui mapenzi,wachaga wataenda kwao kama makabila na jamii nyingine zinavyoenda kwao..!

Ana haaaamu huyu si bure .
 
mwezi wa kabila lako ni lini maana kila ukija Jf ni wachaga,Chadema, Godbless lema, na mji wa moshi haukuwi ...unataka bwana wa kichaga huwezi ukaangaika na upande mmoja wa eneo mwaka mzima lazima kuna kitu wamekushinda na huna namna zaidi ya kutoa huo wivu, chuki juu ya watu hawa.ukimaliza huu uzi anzisha mwingine wadada wa kichaga hawajui mapenzi,wachaga wataenda kwao kama makabila na jamii nyingine zinavyoenda kwao..!

Acha hasira mkuu,
Kwani kuna kitu cha uongo katika hivyo.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom