Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,124
leo ni siku ya ukimwi duniani,watu wanahimizwa kwenda kupima ukimwi.
MATUMAINI YA CHANJO NA TIBA.
mwaka 2010 ilikuwa ni mwaka wa mafanikio makubwa kwa dakitali na mtafiti nguli,dr Fauce wa NIAD marekani ambaye ana historia ndefu kufanikisha hatua nyingi juu ya ukimwi,kuanzia alipovibainisha virus vyenyewe miaka ya 80,baadae akatengeneza ARV inasaidia sana sasa,2010 aliitangazia dunia kuwa amefakia mafanikio ya kimaabara ya kuua VVU vyote zaidi ya sampuli 200 kutoka maeneo tofauti duniani bila kuathiri cell,na ndipo obama akaahidi mpaka 2014 dawa ya ukimwi itakuwa tayari na kuufyeka kabisa ukimwi.
HATA HIVYO MAGUMU BADO YAPO.
kuna vipingamizi 3 vinavyosumbua wanasayansi
1. latent HIV-kuna virus ambavyo vinakuwa mwilini lakini havipo active,na vinaweza kubakia latent kwa muda wote wa uhai wa binadamu,na kitu kibaya dawa inaua virus active tu,na kuna muda na mazingira latent virus zinageuka kuwa active na hapo ni sawa na kwamba mtu hajatibiwa,nini suluhisho la latent virus?
MATUMAINI YA CHANJO NA TIBA.
mwaka 2010 ilikuwa ni mwaka wa mafanikio makubwa kwa dakitali na mtafiti nguli,dr Fauce wa NIAD marekani ambaye ana historia ndefu kufanikisha hatua nyingi juu ya ukimwi,kuanzia alipovibainisha virus vyenyewe miaka ya 80,baadae akatengeneza ARV inasaidia sana sasa,2010 aliitangazia dunia kuwa amefakia mafanikio ya kimaabara ya kuua VVU vyote zaidi ya sampuli 200 kutoka maeneo tofauti duniani bila kuathiri cell,na ndipo obama akaahidi mpaka 2014 dawa ya ukimwi itakuwa tayari na kuufyeka kabisa ukimwi.
HATA HIVYO MAGUMU BADO YAPO.
kuna vipingamizi 3 vinavyosumbua wanasayansi
1. latent HIV-kuna virus ambavyo vinakuwa mwilini lakini havipo active,na vinaweza kubakia latent kwa muda wote wa uhai wa binadamu,na kitu kibaya dawa inaua virus active tu,na kuna muda na mazingira latent virus zinageuka kuwa active na hapo ni sawa na kwamba mtu hajatibiwa,nini suluhisho la latent virus?