Wasudi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 226
- 223
Habari wakuu, nasikia kipindi cha mavuno mpunga hufikia hadi elfu tano kwa debe moja na gunia hufikia hadi elfu hamsini. Swali langu ni kwamba hili debe ukikoboa unatoa kg ngapi za mchele? Na hili gunia pia unaweza ukatoa kg ngapi? Naomba sana majibu yenu nataka kuingia ktk hii biashara ili niwe na takwimu sahihi.