DearJF na Members wengine!!!

King Kong III

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
51,328
67,754
Umofia kwenu ila mie sio m-nigeria kama Bujibuji mwingine
Na wala sio old kama Nyani Ngabu mwingine hata hivyo sio
Njuka kama kisoda mwengine natema ujumbe lakini simzidi AshaDii mwingine sianzishi uzi hovyo hovyo kama wafanyavyo wengine
na wala sijawahi andika uzi wa kutafuta mchumba kama Watunduru mwingine
na sijawahi mzimikia mod kama alivyofanya lara 1 mwingine ila napenda
mademu sema siwapati wazuri zaidi ya Preta mwingine sipaki powder
kama afanyavyo Muuza Sura mwingine mie rijali sio Boflo mwingine
Nacomment sana ila ma-likes wanapewa wengine

Endeleza na wewe if yuh know what i mean.....
 
Last edited by a moderator:
Umofia kwenu ila mie sio m-nigeria kama Bujibuji mwingine
Na wala sio old kama Nyani Ngabu mwingine hata hivyo sio
Njuka kama kisoda mwengine natema ujumbe lakini simzidi AshaDii mwingine sianzishi uzi hovyo hovyo kama wafanyavyo wengine
na wala sijawahi andika uzi wa kutafuta mchumba kama Watunduru mwingine
na sijawahi mzimikia mod kama alivyofanya lara 1 mwingine ila napenda
mademu sema siwapati wazuri zaidi ya Preta mwingine sipaki powder
kama afanyavyo Muuza Sura mwingine mie rijali sio Boflo mwingine
Nacomment sana ila ma-likes wanapewa wengine

Endeleza na wewe if yuh know what i mean.....
Hahahaaa King Kong III umenichekesha aisee Hapo kwenye Bold naomba ujiandae kutoa ushahidi maana ugomvi wake lol
 
Last edited by a moderator:
Umofia kwenu ila mie sio m-nigeria kama Bujibuji mwingine
Na wala sio old kama Nyani Ngabu mwingine hata hivyo sio
Njuka kama kisoda mwengine natema ujumbe lakini simzidi AshaDii mwingine sianzishi uzi hovyo hovyo kama wafanyavyo wengine
na wala sijawahi andika uzi wa kutafuta mchumba kama Watunduru mwingine
na sijawahi mzimikia mod kama alivyofanya lara 1 mwingine ila napenda
mademu sema siwapati wazuri zaidi ya Preta mwingine sipaki powder
kama afanyavyo Muuza Sura mwingine mie rijali sio Boflo mwingine
Nacomment sana ila ma-likes wanapewa wengine

Endeleza na wewe if yuh know what i mean.....

kwani Boflo sio rijali mwingine?
 
Last edited by a moderator:
Ukitaka kuwawin labda uwa Pm wengine, ukija jukwaani kuna wenye aibu wengine
kama una pesa mtafute lara 1 mwingine, au huoni soo kushea na Filipo mwingine
ingawa kuna magonjwa mengine, yamewashinda MziziMkavu, Riwa na madokta wengine.

oh, jambo moja jingine, kuna Asprin, Mtambuzi Dark City na mababu wengine
unapompata binti mwingine, uliza kama anawajua hawa mababu wengine
akisema yes ama jibu jingine, kimbia fasta maana apo utapata malaria nyingine
usijetulilia wengine, hutapozwa na cacico wala wadada wengine!

chonga na Nicas Mtei au Erickb52 na matozi wengine, wakupe maeneo ya kujirusha na warembo wengine
ila chunga kuna werevu wengine, wanavua pete uwaone kama ma Spinster wengine
kumbe ni mabibi kama Mamndenyi na wabibi wengine, wana watoto Kongosho, King'asti na wajikuu wengine
basi mi naenda kula lunch na mke wangu Catherine na si mwingine, usimshobokee ntakutoa busha kama nlivofanya wengine!
 
Last edited by a moderator:
Ukitaka kuwawin labda uwa Pm wengine, ukija jukwaani kuna wenye aibu wengine
kama una pesa mtafute lara 1 mwingine, au huoni soo kushea na Filipo mwingine
ingawa kuna magonjwa mengine, yamewashinda MziziMkavu, Riwa na madokta wengine.

oh, jambo moja jingine, kuna Asprin, Mtambuzi Dark City na mababu wengine
unapompata binti mwingine, uliza kama anawajua hawa mababu wengine
akisema yes ama jibu jingine, kimbia fasta maana apo utapata malaria nyingine
usijetulilia wengine, hutapozwa na cacico wala wadada wengine!

chonga na Nicas Mtei au Erickb52 na matozi wengine, wakupe maeneo ya kujirusha na warembo wengine
ila chunga kuna werevu wengine, wanavua pete uwaone kama ma Spinster wengine
kumbe ni mabibi kama Mamndenyi na wabibi wengine, wana watoto Kongosho, King'asti na wajikuu wengine
basi mi naenda kula lunch na mke wangu Catherine na si mwingine, usimshobokee ntakutoa busha kama nlivofanya wengine!

Haaaaaa nimekupata Mentor ngoja nifuate ushauri wako najua nitaopoa mrembo mwingine,coz sasa ni mjasilia mali zaidi ya Malila mwingine nina pesa nyingi zaidi ya Money stunna mwingine...
 
Last edited by a moderator:
Ukitaka kuwawin labda uwa Pm wengine, ukija jukwaani kuna wenye aibu wengine
kama una pesa mtafute lara 1 mwingine, au huoni soo kushea na Filipo mwingine
ingawa kuna magonjwa mengine, yamewashinda MziziMkavu, Riwa na madokta wengine.

oh, jambo moja jingine, kuna Asprin, Mtambuzi Dark City na mababu wengine
unapompata binti mwingine, uliza kama anawajua hawa mababu wengine
akisema yes ama jibu jingine, kimbia fasta maana apo utapata malaria nyingine
usijetulilia wengine, hutapozwa na cacico wala wadada wengine!

chonga na Nicas Mtei au Erickb52 na matozi wengine, wakupe maeneo ya kujirusha na warembo wengine
ila chunga kuna werevu wengine, wanavua pete uwaone kama ma Spinster wengine
kumbe ni mabibi kama Mamndenyi na wabibi wengine, wana watoto Kongosho, King'asti na wajikuu wengine
basi mi naenda kula lunch na mke wangu Catherine na si mwingine, usimshobokee ntakutoa busha kama nlivofanya wengine!

mmmh! Makubwa!
 
Last edited by a moderator:
Ngoja na mimi nipite kivingine
Maana uzi huu umekaa kivingine
Kama hujui maana yake kivingine
Utaachwa kwenye mataa bila maana kivingine King Kong III leo nae kaja kivingine
 
Last edited by a moderator:
Mh! aya maswali mengine, yananifanya nijiulize kama wewe sio mteja wake mwingine!!!!!:cheer2:
mkubwa usiwe na fujo kama wana jf wengine,huu ni ugomvi wa waziwazi mwingine
kama unabisha payuka neno lingine, utamtambua kama Bofloni rijali mwingine
 
Last edited by a moderator:
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom