King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,658
- 68,615
Umofia kwenu ila mie sio m-nigeria kama Bujibuji mwingine
Na wala sio old kama Nyani Ngabu mwingine hata hivyo sio
Njuka kama kisoda mwengine natema ujumbe lakini simzidi AshaDii mwingine sianzishi uzi hovyo hovyo kama wafanyavyo wengine
na wala sijawahi andika uzi wa kutafuta mchumba kama Watunduru mwingine
na sijawahi mzimikia mod kama alivyofanya lara 1 mwingine ila napenda
mademu sema siwapati wazuri zaidi ya Preta mwingine sipaki powder
kama afanyavyo Muuza Sura mwingine mie rijali sio Boflo mwingine
Nacomment sana ila ma-likes wanapewa wengine
Endeleza na wewe if yuh know what i mean.....
Na wala sio old kama Nyani Ngabu mwingine hata hivyo sio
Njuka kama kisoda mwengine natema ujumbe lakini simzidi AshaDii mwingine sianzishi uzi hovyo hovyo kama wafanyavyo wengine
na wala sijawahi andika uzi wa kutafuta mchumba kama Watunduru mwingine
na sijawahi mzimikia mod kama alivyofanya lara 1 mwingine ila napenda
mademu sema siwapati wazuri zaidi ya Preta mwingine sipaki powder
kama afanyavyo Muuza Sura mwingine mie rijali sio Boflo mwingine
Nacomment sana ila ma-likes wanapewa wengine
Endeleza na wewe if yuh know what i mean.....
Last edited by a moderator: