Dear Mama, Can you Offer An Unconditional Amnesty to All Zanzibaris Waliokimbia After Revolution, Incl Sultan, Be Free to Return & Start Afresh?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,441
113,450
Wanabodi

Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa an unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi including Sultan aliyepinduliwa, wawe wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.

Hoja hii imenijiq baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu katika bandiko hili Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021
Siyo kwamba Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman. Ukweli ni kuwa:

Oman iliifanya Zanzibar kuwa sehemu ya Oman, sawa na Ureno ilivyoifanya Mozambique kuwa jimbo la Ureno.

Zanzibar ilikuwa ni sehemu ya Oman, na Zanzibar ndiyo yalikuwa makao makuu ya Sultan wa Oman, akitawala Oman yote, pamoja na Zanzibar.
Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connections.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1732.

Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake.

Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Wakimbizi wakiisha pata hadhi ya ukimbizi, hawaruhusiwi kushughulika na siasa za nchi zao, hivyo huyu Sultan, alikuwa kimya toka ile 1964 hadi 1972 Karume alipouwawa Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...

Inawezekana Sultan Jamsid ambaye ni Mzee kwa sasa angetamani kuja ku... Zanzibar alikozaliwa kwa sasa amekubaliwa kuishi Oman hizi siku zake za mwish so that he can die in peace, ila huenda angetamani aitwe akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.

Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali walikimbia wenyewe, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Mnaonaje tukimshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wawe wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili siku ya wito ikifika, iwakute wakiitwa kutokea Zanzibar na sio siku hiyo iwakute uhamishoni!. Wakiondokea Zanzibar mahali walipo zaliwa, huenda wataondoka kwa amani zaidi ya kuondokea ugenini.

Amnesty hiyo sio kuurejeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...

Mnaionaje hoja hii?. Maana juzi kati, tulimuona hata Mama ana ndugu na jamaa kule, kama wako kule kwasababu waliimimbia Zanzibar, wafunguliwe milango, wanaotaka kurejea Zanzibar wawe free kurejea na wale waliozoea maisha ya kule then waendelee kuishi huko and you never know, unaweza kukuta hata yule Nobel laureate wetu Mzanzibari akarejea nyumbani ku settle Zanzibar ile midola ikawafaidia zaidi Wanzanzibari kuliko wazungu.

Hili mnalionaje?.

Paskali
 
Wanabodi
Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, including Sultan aliyepinduliwa, wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.

Hoja hii imeninia baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu
Warudi tu, Kwani wamezuiliwa ?
 
Wanabodi
Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, including Sultan aliyepinduliwa, wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.

Hoja hii imeninia baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu katika bandiko hili Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021

Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connection.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1732.

Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake. Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Amekubaliwa Oman so that he can die in peace.

Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali kimbia wenyewe, tumshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili wakiitwa kutoka kwenye dunia hii, waondoke kwa Amani.

Amnesty hiyo sio kuitekeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...

Mnaionaje hoja hii?.
Paskali
Haina haja kwa sababu wazanzibari wenye asli ya Oman hawajazuiliwa kuja zanzibar mbona wana ndugu zao hapa na wanawatumia pesa na kuwafungulia biashara na wengine wamejenga na wanakuja likizo na familia zao kila mwaka na serikali ya Oman inasaidia sana zanzibar kwa kujuwa kwamba wazanzibari na wa Oman ni ndugu wa damu.
 
Wanabodi
Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, including Sultan aliyepinduliwa, wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.

Hoja hii imeninia baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu katika bandiko hili Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021

Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connection.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1732.

Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake. Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Amekubaliwa Oman so that he can die in peace.

Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali kimbia wenyewe, tumshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili wakiitwa kutoka kwenye dunia hii, waondoke kwa Amani.

Amnesty hiyo sio kuitekeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...

Mnaionaje hoja hii?.
Paskali
Naunga mkono, ila sultan tayari alishapewa amnesty na Komandoo na kurejeshewa uraia, hivyo yuko huru kurudi Zanzibar.
 
Unataka wakirudi hao waarabu wa Oman wakawe sehemu ya utawala au warudi kuwa raia wa kawaida?

Hata kama wakiwa raia wa kawaida, kuna uwezekano wakatumia nguvu yao kiuchumi kujipenyeza taratibu kwenye siasa mpaka wakamate uongozi.

Baada ya hapo kuna uwezekano huu muungano uliopo sasa ndio utakwenda kuzikwa rasmi, na sijui patakuwepo na mahusiano ya aina gani kati ya jamii ya wazanzibar wenye asili ya Oman, na wale wazanzibar wenye asili ya uswahilini.

Hapa ndipo yale maneno ya Mwl. Nyerere yatenda kutimia, ... ni sawa na kula nyama ya mtu, wakianza kujigawa wao wazanzibari sisi wabara, matokeo yake watajikuta wanajigawa mpaka wao kwa wao, mbona wale weupe, sisi weusi, matokeo yake hiyo nchi haitatawalika.
 
Wanabodi
Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa an unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi including Sultan aliyepinduliwa, wawe wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.

Hoja hii imenijiq baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu katika bandiko hili Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021

Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connections.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1732.

Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake.

Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Wakimbizi wakiisha pata hadhi ya ukimbizi, hawaruhusiwi kushughulika na siasa za nchi zao, hivyo huyu Sultan, alikuwa kimya toka ile 1964 hadi 1972 Karume alipouwawa Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...

Inawezekana Sultan Jamsid ambaye ni Mzee kwa sasa angetamani kuja ku... Zanzibar alikozaliwa kwa sasa amekubaliwa kuishi Oman hizi siku zake za mwish so that he can die in peace, ila huenda angetamani aitwe akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.

Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali walikimbia wenyewe, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Mnaonaje tukimshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wawe wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili siku ya wito ikifika, iwakute wakiitwa kutokea Zanzibar na sio siku hiyo iwakute uhamishoni!. Wakiondokea Zanzibar mahali walipo zaliwa, huenda wataondoka kwa amani zaidi ya kuondokea ugenini.

Amnesty hiyo sio kuurejeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...

Mnaionaje hoja hii?. Maana juzi kati, tulimuona hata Mama ana ndugu na jamaa kule, kama wako kule kwasababu waliimimbia Zanzibar, wafunguliwe milango, wanaotaka kurejea Zanzibar wawe free kurejea na wale waliozoea maisha ya kule then waendelee kuishi huko and you never know, unaweza kukuta hata yule Nobel laureate wetu Mzanzibari akarejea nyumbani ku settle Zanzibar ile midola ikawafaidia zaidi Wanzanzibari kuliko wazungu.

Hili mnalionaje?.

Paskali

There’s no need to do something for the sake of it! Waarabu sio kwao Zanzibar; haijalishi kama baadhi yao walizaliwa pale. Hata wana wa Israel walikaa Egypt kwa miaka takribani 400, lakini they aren’t considered Egyptians. Pia wamewahi kuishi uhamishoni mahali pengine pengi duniani, lakini mwisho wa siku they went back to their ancestral land.

Waarabu wenye asili ya Oman ambao hawako Oman, wakipenda wafanye tu mpango wa kurudi Oman, kwenye ancestral land yao!
 
There’s no need to do something for the sake of it! Waarabu sio kwao Zanzibar; haijalishi kama baadhi yao walizaliwa pale. Hata wana wa Israel walikaa Egypt kwa miaka takribani 400, lakini they aren’t considered Egyptians. Pia wamewahi kuishi uhamishoni mahali pengine pengi duniani, lakini mwisho wa siku they went back to their ancestral land.

Waarabu wenye asili ya Oman ambao hawako Oman, wakipenda wafanye tu mpango wa kurudi Oman, kwenye ancestral land yao!

..Kuna jamaa mmoja Muarabu yuko hapa JF aliwahi kudai kwamba Waarabu walifika Zanzibar kabla ya Waafrika. Kwa hiyo akawa anadai kwamba Zanzibar sio ya Waafrika.
 
Wanabodi
Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa an unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi including Sultan aliyepinduliwa, wawe wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.

Hoja hii imenijiq baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu katika bandiko hili Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021

Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connections.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1732.

Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake.

Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Wakimbizi wakiisha pata hadhi ya ukimbizi, hawaruhusiwi kushughulika na siasa za nchi zao, hivyo huyu Sultan, alikuwa kimya toka ile 1964 hadi 1972 Karume alipouwawa Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...

Inawezekana Sultan Jamsid ambaye ni Mzee kwa sasa angetamani kuja ku... Zanzibar alikozaliwa kwa sasa amekubaliwa kuishi Oman hizi siku zake za mwish so that he can die in peace, ila huenda angetamani aitwe akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.

Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali walikimbia wenyewe, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Mnaonaje tukimshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wawe wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili siku ya wito ikifika, iwakute wakiitwa kutokea Zanzibar na sio siku hiyo iwakute uhamishoni!. Wakiondokea Zanzibar mahali walipo zaliwa, huenda wataondoka kwa amani zaidi ya kuondokea ugenini.

Amnesty hiyo sio kuurejeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...

Mnaionaje hoja hii?. Maana juzi kati, tulimuona hata Mama ana ndugu na jamaa kule, kama wako kule kwasababu waliimimbia Zanzibar, wafunguliwe milango, wanaotaka kurejea Zanzibar wawe free kurejea na wale waliozoea maisha ya kule then waendelee kuishi huko and you never know, unaweza kukuta hata yule Nobel laureate wetu Mzanzibari akarejea nyumbani ku settle Zanzibar ile midola ikawafaidia zaidi Wanzanzibari kuliko wazungu.

Hili mnalionaje?.

Paskali
P,

Sasa tujiulize yafuatayo Watanzania bara mpaka leo hii kuna haki hawana Zanzibar hasa za Ardhi na umiliki. Kabla ya kufikiria kuruhusu Sultan ambaye ajaomba kurudi ni lazima turuhusu kwanza Watanzania wote wapewe haki zao

Pili kuna kundi la Wanzanzibari ambao waliondoka baada ya uchaguzi wa 1995 na walipewa ukimbizi EU na Canada mimi ningeshauri tuanze na hawa na watu wote wa bara kabla ya wale masultani. Hawa wanzanzibar mpaka leo wanatuma pesa nyumbani.

Tatu kuna mchakato wa kuwapa diaspora kibali maalumu cha kusafiria na kuhakikisha wanapata haki zao. Mimi ningeshauri haya makundi yainhizwe kwenye kundi la vibali maalumu kama wanataka kweli kurudi.

Kama unaongelea msamaha tu ili waweze kusafiri bila kushikwa na Polisi hilo liko sawa lakini kupata haki zao zote hapo ni pa gumu sana
 
Mjongeano baina ya mataifa haya mawili yenye historia ya uhusiano wa kipekee ya karne na karne,

Oman, Zanzibar sign agreement in the field of archiving​


Energy Monday 30/April/2018 21:36 PM
By: Times News Service
Oman, Zanzibar sign agreement in the field of archiving


Muscat: The Sultanate, represented by the National Records and Archives Authority (NRAA) and the Government of Zanzibar represented by the Minister of Information, Tourism and Antiques, signed at NRAA headquarters a Memorandum of Understanding (MoU) between the two countries in the field of documents and archives, “memorising, digitising and exchanging copies of historical documents between NRAA and the Government of Zanzibar.
Dr. Hamad bin Mohammed Al Dhoyani, NRAA Chairman and Mahmoud Thabit Kombo, Zanzibar’s Minister of Information, Tourism and Antiques, signed the MoU.
The signing of the memorandum stems from the good relations between the Sultanate and the Republic of Tanzania, and the desire of the two countries to enhance and develop cooperation in the fields of documents and archives on the basis of the principle of mutual interests.
The memorandum included the preservation and restoration of all documentary stocks in Zanzibar in the archives, converting them from paper documents to digital documents, providing conditions for the exchange of copies of documents and manuscripts relating to the historical relations between Zanzibar and Oman , and promoting exchange of training courses, expert visits and research, as well as cooperation and coordination in all matters related to their activities with regional and international bodies related to the archives.
Minister of Information, Tourism and Antiques of the Government of Zanzibar was briefed on the Sultanate’s experience in the field of documents and archives through presentations submitted to him to introduce the activities of NRAA and its various works
 

Nchi zafunguka, uwekezaji baina ya wadau yaani wafanyabishara toka pande mbili wazidi kuongezeka huku fursa kibao zikisubiri kufanyiwa kazi

Oman, Tanzania joint investments likely to touch $1.5bn: Analysts​

Oman Tuesday 21/June/2022 00:24 AM
By: Saleh Al-Shaibany
Oman, Tanzania joint investments likely to touch $1.5bn: Analysts

While neither side put a figure on the under-consideration joint investments, business analysts estimated the total would not be less than $1.5 billion.

Muscat: Oman and Tanzania have embarked on talks for joint investment that may run up to $1.5 billion following the visit of President Samya Suluhu Hassan to the Sultanate.


The Tanzanian President, the first woman head of state of the country, arrived in Oman last Sunday on a three-day visit to meet His Majesty Sultan Haitham bin Tarik.

She had talks with members of the ministerial cabinet as well as leading business people in a bid to iron out new investments strategy between the two countries.

In a flurry of official statements released by the government offices during his visits, the two countries agreed to hold further talks to invest jointly in projects from agriculture, mining, fisheries, tourism projects to oil and gas ventures.

Neither side put a figure on the joint investments between them but business analysts estimated the total cost will be “substantial”.


“For the scope of the joint investments which they put on the table, it would not be less than $1.5 billion.

It is a substantial outlay that involves many ventures in different fields in the next five years. Taking into account their historical ties in the last few centuries, the two countries have a lot in common and that is why they feel it is the right time to move forward into business investments,” Mohammed al Harthy, an independent analyst, told Times of Oman.

While President Hassan, the first Zanzibari-born to become President of Tanzania, was in Oman, the two countries established a joint investment fund between them but the amount was not specified.

She also wooed private investors into investing into private projects when she met business owners in a meeting at the Bustan Palace Hotel.

“We have already made it easier for investors to enter the Tanzanian market, including guaranteeing the safety of their investments with political certainty. Oman is special to us since both sides have families in the two countries bound by our shared long history,” she told Omani business people who attended the meeting.

Zanzibar, which was an independent country, united with Tanganyika to form the Republic of Tanzania in April 1964.
 
Back
Top Bottom