pisi jacky
Member
- Oct 21, 2020
- 32
- 141
Hope mko poa...
Niwaibie siri mwenye maskio na asikie. Jamani siku hizi kuna kamsemo, "mwanaume akimwaga mboga we mwaga ugali ikiwezekana mwaga hadi maji ya kunawa".
Jaman mwanamke asiposimama imara dunia yote inayumba, kamwe kwenye maisha yako usimlipe mwanaume ubaya kwa ubaya anaokutendea!!
Nitawaambia kwanini...
Mungu alivotuumba ametuumba in search an amazing way. Mioyo yetu na akili zetu zinasemehe na kusahau kwa haraka sana.
Kwa mlioingia leba kwa yale maumivu ya leba sidhani kama kuna mtu angekua anaruhusu mwanaume ampatie tena mimba nyingine lakini huwa tunasahau, na unakuta mwingine mwaka mimba, mwaka mtoto. Tumeumbwa hivyo kuumia, kusamehe, kusahau na kuendelea mbele.
Kuna nguvu kubwa sana kumvumilia mwanaume anayekuumiza bila kumlipa ubaya.
NB: SIZUNGUMZII MA BOYFRIEND WALA WANAUME WANAOPIGA WAKE ZAO NA WALE WANAOWAINGILIA WAKE ZAO KINYUME NA MAUMBILE AISEE KAMA ANA SIFA IZI KIMBIA VIBAYA MNO. PIA NAMUONGELEA MUME WAKO WA NDOA.
Unapovumilia na kumlilia Mungu juu ya matatizo yako kuhusu mumeo Mungu anashughulika mwenyewe katika kumrekebisha, lakini unaposema akichepuka na mi nachepuka unampa shetani nafasi ya kuitawala ndoa yako
Jamani uvumilivu unauma, uvumilivu unagharama lakini atakayevumilia mpaka mwisho ataokoka
Mwanaume wa kumwombea Mungu akiamua kumrejesha anamrejesha kwa machozi na kamasi na magoti juu.
Dear ladies muombee usichoke, achana na wanaosema akimwaga mboga mwaga ugali. Mimi leo nakwambia akimwaga mboga nenda jikoni kapike zingine na umuite kula. Kuna nguvu katika upendo inayoweza kuhamisha milima.
Usishindane na huyo baba, mlilie Mungu aliyekupa atamnyoosha, trust me! Zipo shuhuda kibao mwanaume anahama hadi nyumba lakini mwanamke badala ya kutaka kukomoa na yeye ajioneshe ni mzuri alikaa alilia na Mungu Hadi Mungu akamrejesha.
Ni wakati wa wanawake wa Mungu kusimama, wanawake wanaovumilia, wanaoheshimu mahali wanapodharaulika, wanaosamehe bila kuhesabu.
Simamia nyumba yako, irejeshe amani iliyopotea, omba bila kukoma.
Niwaibie siri mwenye maskio na asikie. Jamani siku hizi kuna kamsemo, "mwanaume akimwaga mboga we mwaga ugali ikiwezekana mwaga hadi maji ya kunawa".
Jaman mwanamke asiposimama imara dunia yote inayumba, kamwe kwenye maisha yako usimlipe mwanaume ubaya kwa ubaya anaokutendea!!
Nitawaambia kwanini...
Mungu alivotuumba ametuumba in search an amazing way. Mioyo yetu na akili zetu zinasemehe na kusahau kwa haraka sana.
Kwa mlioingia leba kwa yale maumivu ya leba sidhani kama kuna mtu angekua anaruhusu mwanaume ampatie tena mimba nyingine lakini huwa tunasahau, na unakuta mwingine mwaka mimba, mwaka mtoto. Tumeumbwa hivyo kuumia, kusamehe, kusahau na kuendelea mbele.
Kuna nguvu kubwa sana kumvumilia mwanaume anayekuumiza bila kumlipa ubaya.
NB: SIZUNGUMZII MA BOYFRIEND WALA WANAUME WANAOPIGA WAKE ZAO NA WALE WANAOWAINGILIA WAKE ZAO KINYUME NA MAUMBILE AISEE KAMA ANA SIFA IZI KIMBIA VIBAYA MNO. PIA NAMUONGELEA MUME WAKO WA NDOA.
Unapovumilia na kumlilia Mungu juu ya matatizo yako kuhusu mumeo Mungu anashughulika mwenyewe katika kumrekebisha, lakini unaposema akichepuka na mi nachepuka unampa shetani nafasi ya kuitawala ndoa yako
Jamani uvumilivu unauma, uvumilivu unagharama lakini atakayevumilia mpaka mwisho ataokoka
Mwanaume wa kumwombea Mungu akiamua kumrejesha anamrejesha kwa machozi na kamasi na magoti juu.
Dear ladies muombee usichoke, achana na wanaosema akimwaga mboga mwaga ugali. Mimi leo nakwambia akimwaga mboga nenda jikoni kapike zingine na umuite kula. Kuna nguvu katika upendo inayoweza kuhamisha milima.
Usishindane na huyo baba, mlilie Mungu aliyekupa atamnyoosha, trust me! Zipo shuhuda kibao mwanaume anahama hadi nyumba lakini mwanamke badala ya kutaka kukomoa na yeye ajioneshe ni mzuri alikaa alilia na Mungu Hadi Mungu akamrejesha.
Ni wakati wa wanawake wa Mungu kusimama, wanawake wanaovumilia, wanaoheshimu mahali wanapodharaulika, wanaosamehe bila kuhesabu.
Simamia nyumba yako, irejeshe amani iliyopotea, omba bila kukoma.