Dear alcohol

Jameni nauliza kuna uchakachuaji wa vibatani vya senksi unaendelea humu ndani?
 
wajameni okay okay,
bigirita dikshenare yako ipo pale lakini tatizo ni kwamba wewe si mwanachama wa tanganyika librare

lakini kwa kifupi nilivyotafsiriwa na vijana waliopo pale ndani wakijisomea ni kwamba hili li-sredi linatuhimiza tunywe pombe kali kwa wingi sana......!tena kila siku
 
wajameni okay okay,
bigirita dikshenare yako ipo pale lakini tatizo ni kwamba wewe si mwanachama wa tanganyika librare

lakini kwa kifupi nilivyotafsiriwa na vijana waliopo pale ndani wakijisomea ni kwamba hili li-sredi linatuhimiza tunywe pombe kali kwa wingi sana......!tena kila siku
orait.:focus:
Nimesoma mahali, mama big yupo chumba cha kulala wenyeji wa daslam, amekwenda na mdalasini na viungo vingine vya pilao, the finest anaangalia kama kuna jiko karibu, labda atappikiwa pilao
 
orait.:focus:
Nimesoma mahali, mama big yupo chumba cha kulala wenyeji wa daslam, amekwenda na mdalasini na viungo vingine vya pilao, the finest anaangalia kama kuna jiko karibu, labda atappikiwa pilao

Unajua asubuhi nimesoma hii thredi nikatoka kapa.....kumbe inazungumzia mapishi ya pilau??:bowl::bowl:
 
orait.:focus:
Nimesoma mahali, mama big yupo chumba cha kulala wenyeji wa daslam, amekwenda na mdalasini na viungo vingine vya pilao, the finest anaangalia kama kuna jiko karibu, labda atappikiwa pilao

Nilikuwa nasikia tu mtu ukienda kuogeshwa unabebwa mgongoni doh!! kumbe mambo yenyewe ndiyo haya
 
Mbona iko vizuri tu kama ilivyo st.roya!anyways,mpumzishe avatar wako bana au amekunywa kokteil ya bakadi na valuu?

Sijui huyo jamaa kwenye avatar akianza kuongea utasema nini? Hapo anaongea kwa vitendo tu
 
orait.:focus:
Nimesoma mahali, mama big yupo chumba cha kulala wenyeji wa daslam, amekwenda na mdalasini na viungo vingine vya pilao, the finest anaangalia kama kuna jiko karibu, labda atappikiwa pilao

Big ballantine inahusika sana aiseee
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom