Mwabhleja
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,351
- 2,058
1-4-4-1-1 si formation ya ushindi bali kukata tamaa.
Mabosi wa Aston Villa sijui kama wanaona kuna fursa ya kubakia ligi kuu au ndo wamekubaliana na hali.
Laiti kama timu ingekuwa na nia ya ushindi huku ikiwa na hofu ya kufungwa basi formation bora ingekuwa 1-4-4-2 au kama wangeamua wasifungwe mechi ya nyumbani walau wangecheza 1-5-4-2 kwa mantiki ya kuhakikisha viungo wa timu wanahakikisha mabeki hawachoki wala mawinga hawakabwi sana.
Kwa ndugu wenye weredi wa soka pasi na shaka mtakubaliana na mimi kwamba ndugu yetu Mbwana Samatta amekumbana na kocha mbovu sana!
Tunampenda Samatta lakini kocha wake anampenda zaidi!
Mabosi wa Aston Villa sijui kama wanaona kuna fursa ya kubakia ligi kuu au ndo wamekubaliana na hali.
Laiti kama timu ingekuwa na nia ya ushindi huku ikiwa na hofu ya kufungwa basi formation bora ingekuwa 1-4-4-2 au kama wangeamua wasifungwe mechi ya nyumbani walau wangecheza 1-5-4-2 kwa mantiki ya kuhakikisha viungo wa timu wanahakikisha mabeki hawachoki wala mawinga hawakabwi sana.
Kwa ndugu wenye weredi wa soka pasi na shaka mtakubaliana na mimi kwamba ndugu yetu Mbwana Samatta amekumbana na kocha mbovu sana!
Tunampenda Samatta lakini kocha wake anampenda zaidi!