bluetooth23
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 348
- 324
Ndugu salam, kama nilivyojitambulisha jana, naitwa Lamar. Niliwahusisha mkasa nilioupata kwa mama dean, asanten kwa ushaur wenu. Niliamua kwenda magomen kupima afya kama mlivyonishaur weng wenu, God is gud nimejikuta salama japo sijaenda kituo kingne kuchek afya kujiridhsha zaid. Nilipotoka angaza magomen nikiwa kinondon, yule mama alinipgia cm tukutane mgahawa wa Marry Brown pale Mlimani City, niliwaza nisiende lakin rafik yngu akashaur niende. Nilimkuta pale akiwa na mwanaye wa kike chotara coz mama huyo ana mume mzungu, alimuamuru mwanaye aende shoprite. Bdae akaniambia ananihtaj kwa maongez zaid na c hapa tena ila itakuwa nairobi jumamosi, hvyo anipe tiket na pesa ya hotel nitangulie ijumaa na yeye anikute huko jumamoc. Ckujbu lolote, akatoa cm mpya ya samsung gallaxy akanipa na noti tano za dola mia moja then akaondoka bila kunickiliza. Ucku nikamuandkia msg kuwa ctaweza kwenda cz najiandaa na mtihan wa kumaliza chuo, alijbu et kama nataka kudisco nisiende. Nifanyeje?