Top Thinker
Senior Member
- Sep 8, 2011
- 183
- 125
[business done]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayehitaji vitu kama iPads, tabs, smart phones na gadgets za namna mbali mbali ani pm au accoment hapa. Nipo USA next week nakuja Bongo nataka nije na kamzigo ka hivyo vitu kutoka jikoni kwa ukweli.
Karibuni wakuu.
mimi unaweza ninunulia Graphics card aina ya nvidia 520? bei yake 47.31 USD hii hapo iyo kitu:Amazon.com: EVGA GeForce GT 520 1024 MB DDR3 PCI Express 2.0 DVI/HDMI/VGA Graphics Card, 01G-P3-1521-KR: Computers & Accessories
Simu isiyo zidi laki mbili na nusu(tsh. 250000)
nipe vigezo vyako naweza kukuagizia simu nzuri unayoitaka toka apnde hzo za obama..
MIJITU MINGINE BANA, Si uanzishe thread yako??
hapo kwenye nyeusi,unaonekana we si muungwana..kulikuwa kuna haja gani kutumia lugha mbaya hivyooOO!!!!MIJITU MINGINE BANA, Si uanzishe thread yako??
Join Date : 4th May 2012hapo kwenye nyeusi,unaonekana we si muungwana..kulikuwa kuna haja gani kutumia lugha mbaya hivyooOO!!!!
MSIMUAMI8NI HUYU NI TAPELI KAMA WALE WA UBUNGO.... usa,, bongo???!!!