Deal Done:Aishi Manila asaini miaka miwili Simba SC

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
48,777
102,141
Habari za uhakika zilizonifikia hivi punde ni kwamba yule golikipa hatari na namna moja kwa Tanzania Aishi Manula amesaini timu kubwa Afrika Mashariki na Kati Simba SC

Manula amesaini miaka miwili kukipiga katika timu hiyo inayotegemewa kuwa mwakilishi wa uhakika kimataifa

Hongera Zakaria Hans Pope
 
Aishi Manula yule wa Azam hatakuwa wa Simba.
Akifungwa Dar Derby moja tu, kwisha habari yake!
Utasikia kauza mechi
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom