Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Wadau,
Wote tunafahamu kua wapo watu ambao wamefikishwa mahakamani kwa kugoma kuhesabiwa.
Pia wote tunafahamu kua muda wa kuhesabiana ulikua ni wiki moja (ambayo labda inaisha leo).
sasa kama ndivyo kuna uhalali gani wa kuwashitaki watu kwa kugoma kuhesabiwa wakati siku yenyewe ya mwisho bado??
Serikali haioni kwamba kwa hili inachemka kwa kupoteza muda na nguvu bure kwa kuanzisha kesi ambazo ni wazi hawatashinda? Yaani hawa watu wakisema kwa mujibu wa ratiba zao walipanga kuhesabiwa mwishoni mwa muda but within deadline utawafanyaje? Au wakaja na madai kua kwa serikali kuwaweka rumande ndio kumewakosesha wasaa wa kuhesabiwa majumbani mwao serikali itabisha?
Nafikiri huu ni muendelezo wa kukurupuka na kuchemka kwa serikali katika maamuzi mbalimbali inayoyafanya. Haiwezekani i-conclude kua watu wamegoma wakati muda wenyewe haujaisha.
Shark
Wote tunafahamu kua wapo watu ambao wamefikishwa mahakamani kwa kugoma kuhesabiwa.
Pia wote tunafahamu kua muda wa kuhesabiana ulikua ni wiki moja (ambayo labda inaisha leo).
sasa kama ndivyo kuna uhalali gani wa kuwashitaki watu kwa kugoma kuhesabiwa wakati siku yenyewe ya mwisho bado??
Serikali haioni kwamba kwa hili inachemka kwa kupoteza muda na nguvu bure kwa kuanzisha kesi ambazo ni wazi hawatashinda? Yaani hawa watu wakisema kwa mujibu wa ratiba zao walipanga kuhesabiwa mwishoni mwa muda but within deadline utawafanyaje? Au wakaja na madai kua kwa serikali kuwaweka rumande ndio kumewakosesha wasaa wa kuhesabiwa majumbani mwao serikali itabisha?
Nafikiri huu ni muendelezo wa kukurupuka na kuchemka kwa serikali katika maamuzi mbalimbali inayoyafanya. Haiwezekani i-conclude kua watu wamegoma wakati muda wenyewe haujaisha.
Shark
Last edited by a moderator: