johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,449
Kipusa!De la Boss kavaa saa ya buku jero
View attachment 1692089
Kipusa!De la Boss kavaa saa ya buku jero
View attachment 1692089
Kwa sasa Manara ni waziri wa maji!unayeteseka ni wewe na utopolo wenzako
Sio hivyo ule ualibino wake pia umempa faida sana,ukweli haji yuko juu sana kwenye usemajiHaji Manara ni maarufu toka siku anazaliwa na mchezaji maarufu ambaye ni Baba yake anayeitwa Sunday Manara,Wakaji Haji anazaliwa,nchi ilijua kua Sunday manara kapata mtoto wa kiume,
Umaarufu wa Haji umeongezeka kutokana na kukua kwa teknolojia ya mawasiliano,ni kweli Haji ana ushawishi na hii ni "Inborn talent"
acha mazoea ya kisenge na mimi. ungeweza kukoment bila kuniita mjingaOfkozi ku ma ninayo shosti au yako imeibiwa. Sio kwa povu hilo cheiiiiView attachment 1692252
acha mazoea ya kisenge na mimi. ungeweza kukoment bila kuniita mjinga
duuh,kwani dislike maana yake nini?kwani dislike ni tusi?sijapenda comment yako,kwani lazima kila mtu apende ulichoandika? kwani dislike ni mpaka utukane? haaa haaa una akili ya kufikiria zaidi ya hapoNimekuona mjinga kwa kukimbilia kitufe cha dislike utadhan nilitukana kwenye hio post
Ukiwa shabiki wa simba hata MO akipiga chafya unasifia. Manara umaarufu wake umekuzwa na jerry muro hasa ule ushindani wao,utani kejeli na ufasta wa manara kukasirika wanapomjibu makavu bila kujali hali yake huwa anakimbilia kulalamikia unyanyapaa
Wewe unamjuaje kama siyo maarufu ,utopolo mmekuwa wajinga mno kupinga kila kitukuna vitu vinachekesha,manara ni maarufu kwa mbumbumbu wenzake.
duuh,kwani dislike maana yake nini?kwani dislike ni tusi?sijapenda comment yako,kwani lazima kila mtu apende ulichoandika? kwani dislike ni mpaka utukane? haaa haaa una akili ya kufikiria zaidi ya hapo
ukoo wako wote unamjuakuna vitu vinachekesha,manara ni maarufu kwa mbumbumbu wenzake.
nilichojifunza leo kumbe na wewe ni mmoja wa wapuuzi waliojaa humu JF,nimechelewa kujuaUmeshasema hupendi kupangiwa cha kupost basi na mie nimefanya ninachopenda,ukianzisha uzi lazima ukutane na post unazozitaka na usizozitaka. Umeweka dislike nimekuita mjinga kila mmoja ana haki ya kufanya apendacho
nilichojifunza leo kumbe na wewe ni mmoja wa wapuuzi waliojaa humu JF,nimechelewa kujua
naachaje kumjua na nimesoma bandiko linamuhusu ama hili bandiko limemtaja nani aliye waoita mbumbumbu hakukoseaWewe unamjuaje kama siyo maarufu ,utopolo mmekuwa wajinga mno kupinga kila kitu
kama mimi tu nimemjua kupitia bandiko langu na niko mjini nna shaka na ndugu zangu walioko bush kama wanamjua kiongozi wenu mbumbumbuukoo wako wote unamjua