kama kweli unazijua hizo dhahabu njoo polisi utoe maelezo fasaha, vinginevyo na wewe ni Gaidi uliyekuwa unashirikiana na Gaidi Hamza.Ndugu wa shujaa Hamza warejeshewe dhahabu zilizo porwa na mapolisi, tuanzie hapo.
Hamza alifilisika kitambo alikuwa anaganga njaaa tu, Migodi yenyewe ni migodi ile au matuta ya viazi?!
Jeshi letu la Polisi Chunguzeni na mfuatilie nyenendo za baadhi ya wafuasi wa Chadema baadhi yao ni Magaidi. Mwenyekiti wao alisha wafundisha ugaidi