DCEA: Wasichana wanavuta bangi zaidi na kuwashawishi wavulana

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,010
9,875
Kwa mujibu wa DCEA kifaa cha Shisha ni halali kwa matumizi ya tumbaku lakini Shisha ni hatari zaidi kwa afya kwani kwa mujibu wa tafiti ni kuwa unapovuta Shisha kwa muda wa saa moja ni sawa na kuvuta wastani wa sigara 100 hadi 200

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesema ongezeko la wimbi la watumiaji wa Shisha umesababisha madhara makubwa kwa jamii, baada ya baadhi watumiaji kuanza kutumia kifaa hicho kuchanganya na dawa haramu za kulevya tofauti na matumizi rasmi ya kifaa hicho

"Wasichana wanavuta bangi kuliko wavulana hasa kuanzia umri wa vurugu kati ya miaka 15 - miaka 20. Na wasichana wamekuwa wakishawishiwa na marafiki zao wa wa kiume(boyfriends)" Florance Khambi, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa Za Kulevya

Clouds Media - Twitter​
 
tarime tunavuta sana mmea na tuko sawa, na unatushawishi tusionewe, na ndio maana tumeikataa sisiem kwa umoja wetu
Unahitaji bangi kufanya maamuzi? Ukiikosa unakuwa kopo tupu lisiloweza kuamua? It seems ni wakati mzuri kukutongoza ukiwa hujavuta, huwezi chomoa
 
Usije ongea kiushabiki hapa ukadhani uko salama,mabinti wengi wa chuo wanavuta bangi usiniulize nimejuaje!
 
Usije ongea kiushabiki hapa ukadhani uko salama,mabinti wengi wa chuo wanavuta bangi usiniulize nimejuaje!
Hii ni kweli kabisa, ila wanaovuta bangi na shisha au sigara, mara nawaonaga sio watu wa vilevi..ila ni wengi sana.
 
Naona siku hizi hawa jamaa wa DCEA wameanza kuwa 'paper tigers'.. Sijui ma-seniors wanamshinda nguvu Gerald?
 
Back
Top Bottom