DCB bank yatoa fixed account hadi 14% kwa mwaka

K
Either hujanielwa, au hujasoma maelezo vizuri niliyoyaandika.. ushawahi kuweka iyo fixed ya 300M ukapewa izo 3% ndani ya mwaka?pengine hujui fixed ni account maalumu na zinamature kutokana muda na rates zinatofautiana na muda unaotaka kuweka na kama hujui hii negotiation huwa inatokea mteja na bank ...then ukarukia kwenye utapeli it's better ufanye utafiti wako vizuri lkn sio kukulupuka kuwa ni matapeli
Brother kwenye biashara ya fixed deposit kwenye bank kubwaa 300m ni hela ya kawaida sana haitaji hata kuomba approval kutoka kwa Retail Director hii rate HOD wa retail ndo anaamua na rate yake haiwezi zidi 6% ni 5.5% hapo
 
Riba inakuwa 7% times 50M times 10% V.A.T kinachopatikana kina gawanywa kwa 6 ambayo ni miezi sita then unapata equivalent ya kila mwezi
Mbona unajibu kiujanja ujanja? Itakuwa DECI nyingine hii, shitukeni Wakuu.
 
Mteja akihamisha hela bank moja kwenda nyingine let say alikuwa anapewa 6% then mteja anataka 7% utakataa hela yake lazima negotiate ili mteja mumchukue kumbuka kuna ushindani wa kibiashara na iyo 300 sijajua umeitolea wapi hadi unasema tunababaika nayo but ina impact kwenye mzunguko wa kibiashara
K
Brother kwenye biashara ya fixed deposit kwenye bank kubwaa 300m ni hela ya kawaida sana haitaji hata kuomba approval kutoka kwa Retail Director hii rate HOD wa retail ndo anaamua na rate yake haiwezi zidi 6% ni 5.5% hapo
 
Ukarukia hapa na iyo 300M but ulikuwa ni mfano wa mhusika nlikuwa namuelewesha
K
Brother kwenye biashara ya fixed deposit kwenye bank kubwaa 300m ni hela ya kawaida sana haitaji hata kuomba approval kutoka kwa Retail Director hii rate HOD wa retail ndo anaamua na rate yake haiwezi zidi 6% ni 5.5% hapo
 
Sasa naanza kuelewa ule msemo things in ground are different umesomea financial and risk management na upo certified kama ulivyosema nahisi unaongea sana theoretically sana than in ground vitu vilivyo unaweza ukawa unachambua and you have tips but let i think utakuwa kuna vitu unashindwa kwenye kudeliver ndugu key point
 
Taarifa zipo wazi soma kwanza usikurupuke kucimment
Acha kuficha ficha taarifa wewe, sema ukiweka kuanzia kiasi gani na kwa muda gani itapatikana hiyo asilimia 14? Usitoe taarifa za ujanja ujanja, sawa sawa?
 
Taarifa zipo wazi soma kwanza usikurupuke kucimment
Kama ziko wazi basi acha tutazitafuta huko, kwanini basi unapoteza muda wako kushawishi jambo usilolijua? Unataka kupeleka watu "kibra" wakati benki ipo kwenye hati hati ya kupotea kama ile ya meridian? Hahaha
 
Kama ziko wazi basi acha tutazitafuta huko, kwanini basi unapoteza muda wako kushawishi jambo usilolijua? Unataka kupeleka watu "kibra" wakati benki ipo kwenye hati hati ya kupotea kama ile ya meridian? Hahaha
Ofcoz chief nenda utazipata..una uhakika gani kama ina hati hati toa uthibitisho wako
 
Kwa financial Reporting standard(IFRS 9) tutashudia mergers and acquisitions zakutosha pamoja na liquidation on small banks kama DCB,ACCESS,FINCA sidhani kama wataweza kuhimili ushindani kwenye soko kwasababu walitumia approach mbaya kuingia sokoni na hii strategy ya kutoa credit facility rather kutafuta deposits zakutosha
📌
 
Tier1 banks ni NMB,CRDB,STANCHART,NBC,EXIM TZ,STANBIC TZ,DTB,ABSA Tz,AZANIA
Hao ndo wana balance sheet ya zaidi ya 1Trillion
Azania wako vizuri kumbe?
Na hawa NBC nilikuwa najua wangeelekea kusanda siku si nyingi
 
Back
Top Bottom