kiamangwana
Senior Member
- Feb 28, 2015
- 175
- 89
Ndiyo maana sir learf kafukuzwa chamaniHakuna kosa DC kumpigia Kampeni Mgombea wa Uchaguzi cha Msingi asitumie Mamlaka yake kumnufaisha Mgombea Fulani
Uchaguzi wa Liberia Rais Sirleaf alikuwa anamsaidia Mpinzani wake wa Zamani George weah japo wanatoka Vyama tofauti na lilikuwa kosa Kisiasa sio kisheria