juu kwa juu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 260
- 38
maendeleo na mihangaiko ya maisha imevurugwa na hiyo mikoa na wilaya mpya. Kwetu hatuna dc na mkoa we tu mpya, wilaya mpya. Mwenye kujua ni lini hawa watu watateuliwa atupe au tiss mmoja atupe hiyo.
Umeathirika vipi kwa kukosekana kwa DC?!!!!! MaDC ni kupe wanaolinyonya taifa letu bila kufanya kazi. Ni makada wa CCM wanaoenda kueneza sera za kimagamba huko wilayani halafu wewe unawalilia. Hebu nitajie mifano ya kazi zilizofanywa na maDC waliopita huko kwenu. Shame on you.maendeleo na mihangaiko ya maisha imevurugwa na hiyo mikoa na wilaya mpya. Kwetu hatuna dc na mkoa we tu mpya, wilaya mpya. Mwenye kujua ni lini hawa watu watateuliwa atupe au tiss mmoja atupe hiyo.
maendeleo na mihangaiko ya maisha imevurugwa na hiyo mikoa na wilaya mpya. Kwetu hatuna dc na mkoa we tu mpya, wilaya mpya. Mwenye kujua ni lini hawa watu watateuliwa atupe au tiss mmoja atupe hiyo.
nilikuwa nauliza tu wakuu. Tupo pamoja sana. Katiba mpya itajibu hayo yote. Hata hivyo kwa sasa tunawahitaji.
maendeleo na mihangaiko ya maisha imevurugwa na hiyo mikoa na wilaya mpya. Kwetu hatuna dc na mkoa we tu mpya, wilaya mpya. Mwenye kujua ni lini hawa watu watateuliwa atupe au tiss mmoja atupe hiyo.
Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi, msimamizi wa shughuli za maendeleo wilaya, kiuongo kati ya s/kali za mtaa na serikali kuu!!! jamani hili nalo linataka tutumie kodi za wananchi tukuweke darasani usome!!!! kuwa mkweli...
Mdau Nape sio DC tena.Alishautema mara baada ya kupewa uenezi wa chama.Kwa hiyo Masasi moja ya wilaya zisizokuwa na huyo gavana.mbona sisi watu wa masasi hatulalamiki DC wetu anazulula tu kwa kazi za CCM..