DC wa Temeke, Godwin Gondwe hayuko sahihi katika kufukuza wanafunzi, watu wa haki za watoto na Haki Elimu nategemea sauti yenu katika hili

OLS

JF-Expert Member
Oct 12, 2019
419
670
Gazeti la Mwananchi liliripoti kuwa shida ya Shule ya Msingi Toangoma ni uchache wa madrasa na wingi wa wanafunzi ambao automatically inakuwa ngumu kwa walimu kudhibiti tabia za wanafunzi.

Since tatizo ni wingi wa wanafunzi kwa upande mmoja ambapo, mwanafunzi sio mkosaji in the first place.

Aidha suala la ngono, ni suala la mazingira na malezi, Watoto hawaachi kuiga wanayoona katika watu wanaowazunguka, kwa utoto wao ni upuuzi kuwapa adhabu ya kufukuzwa shule. Watoto huiga maisha ya nyumbani 100% ndio maana kuna michezo ya kibaba na kimama waki-imitate maisha ya nyumbani hivyo wanapoona matendo ya ngono pia wanaiga. Kosa ni la malezi na mazingira.

Lakini pia kama watoto tunaona wamekosea, Je wameonywa? wameonywa mara ngapi? kwa nini kukurupukia kumfukuza mtu shule na kumnyima haki ya Msingi ya Elimu kwa sababu ya shida ya mtu mwingine?

Hapo bado watoto wanapiga kura ili kuwafukuza watoto wengine zaidi! I stand to say, DC Hauko sahihi katika hili, na ukitaka kujua hauko sahihi jiulize maswali haya.

1. What are you trying to solve kwa kufukuza watoto?
2. What is the outcome ya suluhu hiyo(Ya kufukuza watoto)?

Kama watoto hawa wanaonekana ni watukutu kwa nini wasiende shule za watukukutu?

ZINGATIA maisha ya Tanzania, wazazi hawawezi kupeleka mtoto international school ndio maana wamekomaa na shule za bure, pia hatuwezi kufanya homeschooling.

Ongezeni Madarasa, ongezeni walimu, watoto waonye, wakirudia waende shule za watoto watukutu.

Otherwise mnaenda kinyume na sera za elimu za kuhakikisha kila mtoto anakuwa na walau elimu msingi na mnaathiri uchumi wa nchi in the long run

Nimekereka sana!

Signed

OEDIPUS
 
Kuna njia nyingi za kurekebisha tabia na mazoea ya watoto lakini sio kumfukuza shule, wala nyumbani.

Mtoto Hukanywa, huadhibiwa na kuadhibiwa, kufukuzwa kwa muda kama adhabu ya muda ili ajitafakari na kujirekebisha, Mtoto ni mtoto hata kama akiiga tabia za wakubwa ni mtoto tu, kwani hajui afanyalo.

Ndugu yangu amekosea.
 
DC yuko sahihi kama wameanza ngono hao ni watu wazima wakaozeshwe viwe vidume au vijike kwa taarifa nimeambiwa ni watoto wa Kiislamu na kwa dini hiyo mtu akibalehe awe wa kike au kiume aozwe au aolewe si lazina awe kafikisha miaka 18 .Sheria ya kutaka mtoto aoe au kuolewa akiwa na miaka 18 kuendelea ilipingwa sana na waislamu.

Ni wakati wa watoto wa kiislamu kupewa haki zao kikionyesja kinapenda ngono kiwe cha kike au kiume hata kama hakijafika miaka 18 kiachishwe hule kiende kuoa au kuolewa.
 
Kumfukuza mwanafunzi wa shule ya msingi ni kitu ambacho hakiwezekani kwani sisi watoto tunajua mtoto wa shule ya msingi anatakiwa uangalizi kwani kwa umri wao wanabadilika kama reti ya Dola.

Gondwe ni mumini mzuri wa Kkkt kwa hiyo atumie Imani itamsaidia kumpa maamuzi kwa kuwa haya aliyokuja nayo ni ya mshangao akiwa kama mzazi pia ni kiongozi.
 
Tatizo hamuwajui hawa madogo.

Hasa wa kike, wanafanya ngono sana. Kuanzia darasa la saba, kati ya 10 angalau 7 wanajamiiana ja mmoja kati yao anagawa kwa kila rika.

Mimi ni mwalimu, ukiwapigisha stori za mahusiano madogo wanafurahi sana, na kwa sababu pia nimekiwa mwenyekiti wa nidham shuleni, kwa kushirikiana na mwalimu wa malezi na matroni nimesikia na kuona mengi.

Sijaapa popote, lakini nimefunga nadhiri ya kutotoa siri za wanafunzi wangu popote isipokuwa kwa viongozi wangu.
 
Wakiendelea kuwa hapo watazidi kuharibu na wengine, na ngono ilivyo kama akili haijatulia kuacha no ngumu sana, watafute namna yakuwasaidia, na wenyewe kama bado watoto ngono za nini hasara kwa wazazi wao, ila kule wengi ni malezi ya wazazi wao mabovu!
 
DC yuko sahihi kama wameanza ngono hao ni watu wazima wakaozeshwe viwe vidume au vijike kwa taarifa nimeambiwa ni watoto wa Kiislamu na kwa dini hiyo mtu akibalehe awe wa kike au kiume aozwe au aolewe si lazina awe kafikisha miaka 18 .Sheria ya kutaka mtoto aoe au kuolewa akiwa na miaka 18 kuendelea ilipingwa sana na waislamu

Ni wakati wa watoto wa kiislamu kupewa haki zao kikionyesja kinapenda ngono kiwe cha kike au kiume hata kama hakijafika miaka 18 kiachishwe hule kiende kuoa au kuolewa
aloo kumbe!!! ndo mana huku mitaani vitoto vya kiislam vimejazana vingi kweli, na vyote huwa vimevalia ijabu na barakashee, jamaa wanangonoka sana, kila kukicha kazi yao ni kufyatua tuu yani mwendo wa kufyatua vitoto, vitoto vidogo vinazidi kuongezeka na kurundikana mitaani na hali yenyewe ndo hii. Walau wangejaribu kushauriwa kuhusu uzazi wa mpango ingesaidia.
 
Watoto warudishwe shule tafadhali itapendeza zaidi. Hukumu yao hawa ni viboko tu na si kingine. Waje waniazime mimi hapa nikawasaidie, kama hawana uzoefu wa kutandika watoto viboko vyenye akili. Mimi nipo waje tu wanichukue nikawasaidie, nimejaa tele
 
DC yuko sahihi kama wameanza ngono hao ni watu wazima wakaozeshwe viwe vidume au vijike kwa taarifa nimeambiwa ni watoto wa Kiislamu na kwa dini hiyo mtu akibalehe awe wa kike au kiume aozwe au aolewe si lazina awe kafikisha miaka 18 .Sheria ya kutaka mtoto aoe au kuolewa akiwa na miaka 18 kuendelea ilipingwa sana na waislamu.

Ni wakati wa watoto wa kiislamu kupewa haki zao kikionyesja kinapenda ngono kiwe cha kike au kiume hata kama hakijafika miaka 18 kiachishwe hule kiende kuoa au kuolewa.
Sijatarajia kupata mawazo haya kutoka kwako....

Kwa mawazo haya maana yake ni kuwa sheria ibague watu, na elimu isiwe haki ya msingi ya mtoto?
 
Tatizo hamuwajui hawa madogo.

Hasa wa kike, wanafanya ngono sana. Kuanzia darasa la saba, kati ya 10 angalau 7 wanajamiiana ja mmoja kati yao anagawa kwa kila rika.

Mimi ni mwalimu, ukiwapigisha stori za mahusiano madogo wanafurahi sana, na kwa sababu pia nimekiwa mwenyekiti wa nidham shuleni, kwa kushirikiana na mwalimu wa malezi na matroni nimesikia na kuona mengi.

Sijaapa popote, lakini nimefunga nadhiri ya kutotoa siri za wanafunzi wangu popote isipokuwa kwa viongozi wangu.
Bado haujaweka mawazo, kwa hiyo mtoto akifanya ngono ndio afukuzwe shule?
Hata ukisema wanaliwa tigo, kama wanaliwa na watu wazima, hao watu wazima wanaingia kwenye kesi ya ubakaji, kama ni wenyewe kwa wenyewe, ni kosa la kinidhamu ambalo haliondoi haki ya msingi ya mtoto kupata elimu
 
DC yuko sahihi kama wameanza ngono hao ni watu wazima wakaozeshwe viwe vidume au vijike kwa taarifa nimeambiwa ni watoto wa Kiislamu na kwa dini hiyo mtu akibalehe awe wa kike au kiume aozwe au aolewe si lazina awe kafikisha miaka 18 .Sheria ya kutaka mtoto aoe au kuolewa akiwa na miaka 18 kuendelea ilipingwa sana na waislamu.

Ni wakati wa watoto wa kiislamu kupewa haki zao kikionyesja kinapenda ngono kiwe cha kike au kiume hata kama hakijafika miaka 18 kiachishwe hule kiende kuoa au kuolewa.
Wewe utakubali wanao wafanyiwe hivyo?
Yaani kitoto chako kidogo cha kike kiozeshwe na kianze kufanya ngono na akose haki yake muhimu ya elimu.
Utakubali?

Clearly ulichoandika kinaprove umetumia emotions instead of common sense kitu ambacho kwa kawaida watoto wadogo hufanya.

Akifanya mtu mzima well that's pathetic.
 
aloo kumbe!!! ndo mana huku mitaani vitoto vya kiislam vimejazana vingi kweli, na vyote huwa vimevalia ijabu na barakashee, jamaa wanangonoka sana, kila kukicha kazi yao ni kufyatua tuu yani mwendo wa kufyatua vitoto,
vitoto vidogo vinazidi kuongezeka na kurundikana mitaani na hali yenyewe ndo hii. Walau wangejaribu kushauriwa kuhusu uzazi wa mpango ingesaidia.
Wewe umejuaje?
 
Tatizo hamuwajui hawa madogo.

Hasa wa kike, wanafanya ngono sana. Kuanzia darasa la saba, kati ya 10 angalau 7 wanajamiiana ja mmoja kati yao anagawa kwa kila rika.

Mimi ni mwalimu, ukiwapigisha stori za mahusiano madogo wanafurahi sana, na kwa sababu pia nimekiwa mwenyekiti wa nidham shuleni, kwa kushirikiana na mwalimu wa malezi na matroni nimesikia na kuona mengi.

Sijaapa popote, lakini nimefunga nadhiri ya kutotoa siri za wanafunzi wangu popote isipokuwa kwa viongozi wangu.
Umechukua hatua gani labda kupunguza hiyo changamoto?
 
Kaka hao watoto waliofukuzwa wa primary unaambiwa walikuwa wanawapakia mkongo wanafunzi wenzao...just imagine una mwanao hapo.
 
Wingi wa wanafunzi na uchache wa madarasa hauna mahusiano WATOTO KUWA WAZINZI.

#MALEZI
 
DC anaenda kufukuza shule waroto wa primary kwa kosa la kufanya ngono! Nchi hii haiishi vituko.
Nchi ina vituko kwa sababu tumeamua kuwaachia wanasiasa kuwa wataalam wa kila kitu. Na mbaya zaidi watu wengi wanaokumbilia kwenye siasa wengi ni vilaza na matapeli. Hii ina maana kuwa tumeachia vilaza na matapeli kutuamulia mambo yetu. Hili suala ni mfano moja wapo.

Mimi najua kuwa kuna watu wataalam wa saikolijia ya watoto ambao ndiyo hudili na mambo kama hayo, na kama hawafanyi kazi yao inabidi waondelewe. Sasa hawa vilaza wana-take advantage ya uzembe wa wataalam kupenyeza ujinga wao kwenye mambo muhimu.
 
Back
Top Bottom