Ahsante Mtani. Na hata hiyo kukanyaga pia Mtani yaani inatafsiri kibao.Haya na pole kwa mbio..Lakini kituo kinachanganya mno..!
Bila shaka mods washaitoa heading mliyoilalamikia.Daah! Mtani umejua kunikimbiza.
Nikajua kachemsha kwenye utendaji kazi hivyo akaishia kumkanyaga kumbe ni mambo ya mazoezi. Duuh.
Umeanza na neno "mazoezi" kwahiyo haima tatizo.Labda kinakuchanganya hicho kituo cha Polisi, lakini mbona imeeleweka..!
Mkuu wa Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, Tumaini Magessa akimkanyaga tumboni mkuu wa kituo cha polisi Kibaya, Patrick Kimaro katika mazoezi ya utayari.
Chanzo: MwananchiView attachment 1246092
Mkuu wa Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, Tumaini Magessa akimkanyaga tumboni mkuu wa kituo cha polisi Kibaya, Patrick Kimaro katika mazoezi ya utayari.
Chanzo: MwananchiView attachment 1246092
Badala ya kuwaza usalama wa wananchi wa Kiteto dhidi ya magenge ya wahalifu, ndio maana Raia wanona polisi wapo kwa kazi moja tu kudhititi upinzani. Hapo ghafla Tyre ya Lorry ipige burst ya nguvu lazima wataftane kwa kihoro.Ahaha safi sana
Huyo kamanda Anaweza akawadhibiti wapinzani 1000 kwa wakati mmoja wanaoleta fujo
Propangada zinawaharibu sanaAhaha safi sana
Huyo kamanda Anaweza akawadhibiti wapinzani 1000 kwa wakati mmoja wanaoleta fujo