Mwanamayu JF-Expert Member May 7, 2010 11,347 6,471 Oct 20, 2020 #1 DC wa Kisarawe, Mhe. Jokate akikagua mafunzo/ mazoezi ya mbwa wa polisi na farasi kwa ajili ya kulinda amani. Je, amesahau masmiati 'haki'?
DC wa Kisarawe, Mhe. Jokate akikagua mafunzo/ mazoezi ya mbwa wa polisi na farasi kwa ajili ya kulinda amani. Je, amesahau masmiati 'haki'?
B brazaj JF-Expert Member Jul 26, 2016 27,824 35,827 Oct 20, 2020 #2 Hatuogopi mbwa, farasi wala risasi. Kama "haki" wanataka kuimeza, wataicheua.