DC wa Igunga atabiri ushindi kwa CCM -- hii imekaaje?

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
233
Leo gazeti la Majira limemnukuu Mkuu wa Wilaya ya Igunga Fatuma Kimario akitabiri kwamba CCM itashinda tu Igunga. Kauli hii imekaa vipi kutolewa na kada mkuu wa CCM katika Wilaya hiyo ambaye anajificha nyuma la pazia la serikali? Inafaa CDM wawasilishe malalamiko yao kwa NEC mara moja.

Isitoshe huu utakuwa ni ushahidi mkubwa katika kesi ya CDM ya kupinga matokeo iwapo mgombea wa CCM atashinda.
 
Leo gazeti la Majira limemnukuu Mkuu wa Wilaya ya Igunga Fatuma Kimario akitabiri kwamba CCM itashinda tu Igunga. Kauli hii imekaa vipi kutolewa na kada mkuu wa CCM katika Wilaya hiyo ambaye anajificha nyuma la pazia la serikali? Inafaa CDM wawasilishe malalamiko yao kwa NEC mara moja.

Isitoshe huu utakuwa ni ushahidi mkubwa katika kesi ya CDM ya kupinga matokeo iwapo mgombea wa CCM atashinda.

Ni mwizi tu mama huyo, hana hata haya kuingilia kampeni za wengine katika kutaka kufanya hujuma. Kwa nini alienda katika eneo la kampeni za CDM pamoja na kwamba ana haki ya kuenda popote pale katika shughuli zake za kikazi. Angekuwa muungwana angesubiri CDM wamalize mikutano yao ule halafu ndiyo aende. Ni uchokozi tu na maoni yangu ni bora vile yaliyompata. Anaudhi sana.
 
Leo gazeti la Majira limemnukuu Mkuu wa Wilaya ya Igunga Fatuma Kimario akitabiri kwamba CCM itashinda tu Igunga. Kauli hii imekaa vipi kutolewa na kada mkuu wa CCM katika Wilaya hiyo ambaye anajificha nyuma la pazia la serikali? Inafaa CDM wawasilishe malalamiko yao kwa NEC mara moja.

Isitoshe huu utakuwa ni ushahidi mkubwa katika kesi ya CDM ya kupinga matokeo iwapo mgombea wa CCM atashinda.

Mmh Mwingine au yule alotaka kubakwa ?
 
DC wa Igunga anayo haki ya kikatiba ya kushabikia na hata kuwa na kadi ya chama chochote cha siasa. Tatizo letu magwanda wengi wenu ni wavivu wa kusoma kwahiyo hata katiba yenu hamuielewi.
 
Alikuwa anataka kitu hali ya hewa haikuwa muafaka kwake...Anaweza kuwa shekhe .....wao wa kutabiria mambo...
 
DC wa Igunga anayo haki ya kikatiba ya kushabikia na hata kuwa na kadi ya chama chochote cha siasa. Tatizo letu magwanda wengi wenu ni wavivu wa kusoma kwahiyo hata katiba yenu hamuielewi.

Kwakuwa wewe mwenye gpa ya 4.0 sio mvivu wa kusoma, ni katiba ipi ya Tanzania inayowatambua ma dc na ma rc? Ibara ya ngapi?
 
DC wa Igunga anayo haki ya kikatiba ya kushabikia na hata kuwa na kadi ya chama chochote cha siasa. Tatizo letu magwanda wengi wenu ni wavivu wa kusoma kwahiyo hata katiba yenu hamuielewi.
<br />
<br />
To add credibility to your argument, citation is needed. Sio unakurupuka tu kama mtu anayeandika barua ya uchumba.!
 
DC wa Igunga anayo haki ya kikatiba ya kushabikia na hata kuwa na kadi ya chama chochote cha siasa. Tatizo letu magwanda wengi wenu ni wavivu wa kusoma kwahiyo hata katiba yenu hamuielewi.

wewe uliyesoma katiba tuambie ni kipengele gani na cha section ipi kinachompa mamlaka mkuu wa wilaya kushabikia chama fulani ?? ukimaliza nami nitakupa kipengele kwenye katiba kinachompiga marufuku kiongozi wa serikali ambaye anatumia kodi za wananchi wote kutumika kwa ajili ya manufaa ya chama cha siasa.
 
DC wa Igunga anayo haki ya kikatiba ya kushabikia na hata kuwa na kadi ya chama chochote cha siasa. Tatizo letu magwanda wengi wenu ni wavivu wa kusoma kwahiyo hata katiba yenu hamuielewi.


Nitajie kada wa CDM ambaye ni DC na halafu nipe namba yako ya simu nikutumie TSh one milioni sasa hivi kwa M-Pesa! Wacha huu wewe!
 
kwani kazi ya DC ni nni???si kuhakikisha chama tawala kinachukua jimbo unless pale penye utata sana lakini kwa kauli hii ka kweli SISIEM imekula kwao
 
<font size="4">Nitajie kada wa CDM ambaye ni DC na halafu nipe namba yako ya simu nikutumie TSh one milioni sasa hivi kwa M-Pesa! Wacha huu wewe!</font>
<br />
<br />
Hii ni nchi ya vyama vingi ndugu yangu. Sasa kama sera zenyewe za Chadema ni kupiga ma DC usitarajie hao hao unaowapiga wakushabikie.
 
Watetezi wa magamba humu ndani wameanza kufikiri kwa kutumia ma..... yao!
 
<font size="4">Nitajie kada wa CDM ambaye ni DC na halafu nipe namba yako ya simu nikutumie TSh one milioni sasa hivi kwa M-Pesa! Wacha huu wewe!</font>
<br />
<br />
Wewe mwenyewe kodi ya nyumba unayoishi ni mtihani kulipa halafu unipe mil 1 mimi? Au ndiyo mbinu za kupiga mizinga?
 
<br />
<br />
Hii ni nchi ya vyama vingi ndugu yangu. Sasa kama sera zenyewe za Chadema ni kupiga ma DC usitarajie hao hao unaowapiga wakushabikie.

Na wapi zilipo sera za mapolisi wa magamba kuwauwa kwa risasi raia wasiokuwa na hatia? Una nazi badala ya kichwa?
 
DC wa Igunga anayo haki ya kikatiba ya kushabikia na hata kuwa na kadi ya chama chochote cha siasa. Tatizo letu magwanda wengi wenu ni wavivu wa kusoma kwahiyo hata katiba yenu hamuielewi.
na miak 33 yako upo UDOM mwaka wa 1 nni???sijui katiba ipi unaizungumzia???au unasikia tu kila kitu kipo kwenye katiba na unadhani kuna kipengele kinamzungumzia DC,yule ni ceremonial leader tu
 
DC ni mjumbe wa kamati ya siasa ya CCM Wilaya. Anapoongea inabidi uangalie platform, je anaongea kama kiongozi wa CCM au wa serikali. Kwa sasa katiba inaruhusu. kama inatukera, turekebishe katiba kwanza.
 
Duh tutayasikia mengi!! Nakumbuka wakati wa kampeni oct 2010, tuliweweseka na MS, naona this time wamefufuka wa kina mwita duh!!
 
Back
Top Bottom