Mugishagwe
JF-Expert Member
- Apr 28, 2006
- 300
- 58
Katika hali ya kushangaza mkuu wa Mgambo wa Ilala wakiwa katika mkutano pale mnazi mmoja muda mfupi uliopita amemfokea na kumfuza nje Mkuu wa Mgambo wa Ilala kwa madai kwamba mkuu huyo alikataa kuitika wito wa mkuano kwa maneno akitaka maandiko ya kuonyesha kuna mkutano na DC na Mkurugenzi wa Jiji. DC alikuwa nalia lia uchafu wa Jiji na baada ya hapo alitoa nje kwa maneno na utemi Askari mwanajeshi Mstaafu ambaye anajulikana kwa jina la Chuma, kwa madai ya kuomba barua ya kuhudhuria mkutano.
Ameagiza Mkurugenzi kumfuza kazi mara moja na asionekane kokote ofisi za Jiji. Hii ni ile style ya Lowasa naona jamaa anayo pia. Wajuvi, huyu DC akil yake ina akili? Hivi ndiyo mtumishi wa serikali anavyo fukuzwa kazi?
Msaada wenu kuelewa hili kama limekaa kisawa sawa.
Ameagiza Mkurugenzi kumfuza kazi mara moja na asionekane kokote ofisi za Jiji. Hii ni ile style ya Lowasa naona jamaa anayo pia. Wajuvi, huyu DC akil yake ina akili? Hivi ndiyo mtumishi wa serikali anavyo fukuzwa kazi?
Msaada wenu kuelewa hili kama limekaa kisawa sawa.