Hute JF-Expert Member Nov 25, 2010 6,537 6,458 May 14, 2018 #123 hivi maDC nao ni watu wakubwa? hahahaha
P Peaceforever JF-Expert Member Jan 6, 2011 1,744 1,776 May 14, 2018 #124 kunze said: Wameiba kanisani Mbezi luis ,tena zaka na sadaka za pasaka,sembuse kwa huyo mpiga dili? Tena,wataiba hata mke ukizubaa Click to expand... duh! hahahaa.aise hii yako noma,jamaa akisoma hii anaweza kusahau maumivu.
kunze said: Wameiba kanisani Mbezi luis ,tena zaka na sadaka za pasaka,sembuse kwa huyo mpiga dili? Tena,wataiba hata mke ukizubaa Click to expand... duh! hahahaa.aise hii yako noma,jamaa akisoma hii anaweza kusahau maumivu.
Muharango JF-Expert Member Jul 2, 2016 1,663 1,033 May 14, 2018 #125 Lyaniva Felix hii ni Bongo Dar es salaam sio kule Rorya ulikokuwa, tumia akili Walinzi wamepiga mchongo wa kuibiwa gari lako!
Lyaniva Felix hii ni Bongo Dar es salaam sio kule Rorya ulikokuwa, tumia akili Walinzi wamepiga mchongo wa kuibiwa gari lako!