Kingo
JF-Expert Member
- May 12, 2009
- 855
- 390
Mkuu wa wilaya tabora imebidi ahairishe killele cha siku ya mazingira duniani kilichofanyika leo duniani na nchini kote baada ya wananchi kutohudhuria. Alikuta tu viongozi wa CCM na viongozi wengine wa serilkali.
Kilele hicho kitaadhimishwa siku ya tarehe 14 Juni kwa wilaya ya Tabora. - TBC
Kilele hicho kitaadhimishwa siku ya tarehe 14 Juni kwa wilaya ya Tabora. - TBC