johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,826
- 141,738
Mkuu wa wilaya ya Songwe Mh. Simon Simalenga ametolea ufafanuzi suala la binti anayedai alimpiga
Mh Simalenga amesema yule binti hajapigwa kama inavyosimuliwa bali yeye alimpa warning Baada ya kutaka kumpiga lakini alimshika Mkono na binti akaomba Msamaha.
Naye Waziri wa maendeleo ya Jamii Dkt. Dorothy Gwajima amesema suala hilo linafanyiwa Uchunguzi na polisi na ukikamilika taarifa kwa Umma itatolewa
Mlale unono!
Mh Simalenga amesema yule binti hajapigwa kama inavyosimuliwa bali yeye alimpa warning Baada ya kutaka kumpiga lakini alimshika Mkono na binti akaomba Msamaha.
Naye Waziri wa maendeleo ya Jamii Dkt. Dorothy Gwajima amesema suala hilo linafanyiwa Uchunguzi na polisi na ukikamilika taarifa kwa Umma itatolewa
Mlale unono!