Mkuu wa Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, Jackison Msome ameingia katika mgogoro na wananchi wa kata saba za mjini Tukuyu wanaopinga ongezeko la maji kwa kiwango cha asilimia 125 kulikofanywa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Tukuyu.
DC huyo anadai kuwa wananchi wanaolalamikia tatizo hilo eti ni wahuni tu,kana kwamba wanachokilalamikia hakina maana. Hivi wananchi anao waita MSOME kwamba ni wahuni inawezekana kweli wahuni wakafungua kesi mahakamani kupinga ongezeko hilo la maji?.
Msome kumbuka JK bado hajafanya uteuzi wa ma-DC usipokuwa makini huu mgogoro utakushusha CV zako, nakushauri chukua hatua kushughulikia tatizo hili, tumia busara katika kusghughulikia mgogoro na siyo ubabe kama unavyofanya. Uongozi wa kibabe ulishapitwa na wakati hii ni karne nyingine.
DC huyo anadai kuwa wananchi wanaolalamikia tatizo hilo eti ni wahuni tu,kana kwamba wanachokilalamikia hakina maana. Hivi wananchi anao waita MSOME kwamba ni wahuni inawezekana kweli wahuni wakafungua kesi mahakamani kupinga ongezeko hilo la maji?.
Msome kumbuka JK bado hajafanya uteuzi wa ma-DC usipokuwa makini huu mgogoro utakushusha CV zako, nakushauri chukua hatua kushughulikia tatizo hili, tumia busara katika kusghughulikia mgogoro na siyo ubabe kama unavyofanya. Uongozi wa kibabe ulishapitwa na wakati hii ni karne nyingine.