nyegere86
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 2,214
- 3,899
Hii hali ya hewa utakuwa unawahi nini sasa mkuu zaidi ya papuchi???Hahahaa....... Inaonekana wewe kwa papuchi hauwezekani!
Hii hali ya hewa utakuwa unawahi nini sasa mkuu zaidi ya papuchi???Hahahaa....... Inaonekana wewe kwa papuchi hauwezekani!
Dah! Hatari sanaShinfano*
Amewatska*
Aliyewsteua*
Mkuu ana type kama unawahi papuchi
Swala siyo wasiwasi bali vigezo vitakavyotumika!Niliwaza huu mkwamo na ukosoaji, isingewezekana kwani wengi wangeona kama ni kuwachongea kwa Boss wao.......Hao wakuu wa Wilaya wana wasiwasi gani sisi wananchi tukitathmini utendaji wao?
Kwahiyo unawafananisha maDC na wanawake.Yuko sahihi Kabisa DC Kasesera
Mke bora anamjua Mwenye Mke
Na majaji watakaotumika pia.Hii ni kuwinda rushwa tu .Wakuu wa wilaya wawatafute clouds wawahonge hela ili wawe rated vizuri.Hilo zoezi ni mradi wa kuwinda rushwa tu hamna kitu .Kaesesera yuko sahihiSwala siyo wasiwasi bali vigezo vitakavyotumika!
Kwani wanawake ni wabaya kufananishwa nao? Ni watu wasofaa?Kwahiyo unawafananisha maDC na wanawake.
Clouds ni wazee wa fursa......eti siku ya kwanza tu wakadai Mjema na Jokate wanaongoza kwa mbali........hahahaa!Na majaji watakaotumika pia.Hii ni kuwinda rushwa tu .Wakuu wa wilaya wawatafute clouds wawahonge hela ili wawe rated vizuri.Hilo zoezi ni mradi wa kuwinda rushwa tu hamna kitu .Kaesesera yuko sahihi
Mkuu huyo ni kamanda pale Ufipa jinsia ke ni viburudisho!Kwani wanawake ni wabaya kufananishwa nao? Ni watu wasofaa?
Clouds waache ujinga kabisa aisee mashindano ya kuchezea ugali wa watu haya sio mazuri kwa afyaMh Richard Kasesera kwa niaba ya wakuu wote wa wilaya Tanzania amewataka CMG kuacha mara moja shindano la kumtafuta DC bora.
Kasesera amesema ubora wa mkuu wa wilaya anaujua yule aliyewateua ambaye ni Rais Magufuli!
Hahahaa....... Siyo Patrobas Katambi!Jokayte angeahinda
Wamesema wameandaa zawadi!Clouds waache ujinga kabisa aisee mashindano ya kuchezea ugali wa watu haya sio mazuri kwa afya
Hizo zawadi kama zipo waambie waende posta kuna omba omba kibao wakawape zawadi kwa ajili ya Christmas na mwaka mpyaWamesema wameandaa zawadi!
Seba,Ngoma,Sasari nk degree holders acha mkumbo...hiyo ni wananchi wanachagua na kutoa sababu kafanya jambo gani la kupongezwa..tatizo liko wapi??? hata majarida na media kubwa duniani wanafanya hivyo...mbona Nobel prize wanapewa mpaka maraisi wa nchiHawa wajinga wanatafuta pesa hata kwa kutuharibia maisha yetu, nani kawapa kibali hawa vilaza wa div 4 and 3? wanataka kutuvurugia utendaji wa serikali kisha waseme mzee ameshindwa, ujanja ujanja hatutaki. WAFANYE MASHINDANO YA MTANGAZAJI BORA HAPO KWAO BASI, WAACHANA NA MA-DC wetu
Wananchi hawa wanaoendeshwa na picha za instagram ? ata mimi ningekuwa kasesera ningekataa ujinga huoSeba,Ngoma,Sasari nk degree holders acha mkumbo...hiyo ni wananchi wanachagua na kutoa sababu kafanya jambo gani la kupongezwa..tatizo liko wapi??? hata majarida na media kubwa duniani wanafanya hivyo...mbona Nobel prize wanapewa mpaka maraisi wa nchi