Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
SABAYA LENGAI kazi ipo.Kipeo cha juu cha unafiki na chukizo kubwa kwa watanzania, Sabaya haki yako inakuja hivi punde.
Wambea husema SABAYA unalo
SABAYA LENGAI kazi ipo.Kipeo cha juu cha unafiki na chukizo kubwa kwa watanzania, Sabaya haki yako inakuja hivi punde.
Hahahahah noma kweliWauaji bwana,mnahangaika eti shujaa wa Afrika kwa lipi??
Yeremia 17 : 5Sabaya sasa uwe makini yule mtu aliyekuwa anakukingia kifua unavamia biashara za watu, unakamata watu hovyo na kuwafunga jela ameondoka.
Anaongea kufurahisha ummaSabaya its better angekaa kimya, ni mmoja ya vijana walioharibu sana taswira ya utawala wa aliekuwa rais wenu.
Amekosa nini mkuu kuja kumdhalilisha hapa ?HUYU naye eti NI DC...aiseee,HIVI YULE PACHA WAKE AITWAYE CHALAMILA YEYE ANASEMAJE?(madc wa hovyo kuwahi kutokea toka Uhuru)
Dah ngoja waje wengine kutia neno hapaSabaya ni moja ya viongozi ninaowatabiria makubwa kwa nchi hii.
Watoto wadogo hawawezi kuliona hilo.Dah ngoja waje wengine kutia neno hapa
Mwenye dhambi hana raha!Penye wanafiki hofu hutanda wala wasijuwe wafanye nini, maana kisasi ni cha Mungu aliye hai siku zote hata milele
Bali walio haki hawana hofu siku zote.
Ngoja tuoneWatoto wadogo hawawezi kuliona hilo.
Ndugu yangu ukweli umeondokewa na kupungukiwa ulikanyaga Sheria upendavyo hakuna wa kukukemea ulidhalilisha watu ukaonekana shujaa,ulidhulumu watu na kufanya ujambazi wa mchana Ila waliotakiwa kukuwajibisha wakakulinda na kusema ni mtakatifu yote ujue hatujasaha km ubongo wako ulivyomsahaulifu Ila ss siku zako zinahesabibika suntashangaa siku nikija kukuona gereza la karanga hapoANAANDIKA DC SABAYA LENGAI
_
Baada ya Kushuhudia Mwili wa Dr John P.Magufuli ukiwa Akiwa Amelala Sasa Nimeamini Jabali Lenye Moyo wa Simba Na Akili ya Duma Amelala Usingizi wa Mauti.
Usiku ule wa Tarehe 17 March ni usiku Mgumu kuwahi kutokea katika Maisha Yangu, Nilimfikiria Baba, Mwalimu,mtu mwenye Huruma,ambaye kabla ya "kukuhukumu" atataka akusikilize na wewe, Na siku zote akisema USIOGOPE,Mtu asiyejua UNAFIKI wa kupikwa ila aliyezingatia zaidi matokeo ya kazi Aliyokupa, na aliyeamini sana katika nafasi ya pili,Anayesikiliza sana tena kwa Upendo.
Kuondoka kwake kwa wakati huu kuliniingiza Ganzi Nisiyowahi kuiona Maishani, Ninajua Mama Janeth amempoteza Mume, Taifa Limempoteza Baba na Rais, Africa Imempoteza Mwana mapinduzi Jasiri,Lakini Mbingu Imempokea shujaa Wa Imani, Aliyevipiga vita bila Kujali maumivu ya Moyo aliyoyapitia, akailinda imani kwa Kulitambulisha Jina la MUNGU aponyaye kwa mataifa, Na sasa amemaliza mwendo na Amepumzika Miguuni kwa bwana Wa vita. MATENDO uliyoyatenda kwa Gharama ya maisha yako, yamekutangulia.
Nenda Baba Nenda, matendo yako, kazi zako,na kujitoa kwako kumeandikwa kwa wino wa dhahabu kwenye moyo wangu na katika mioyo ya watanzania wa kweli umeandika Dibaji mpya. Hadithi za kazi ulizowatendea wana wa Taifa hili zitasimuliwa na vizazi, kwangu umenipa sababu ya kuamka tena, kutenda kwa Ujasiri bila woga wala Hofu,Nikiona Fahari sana Kwamba nimejifunza na Kuwa Mwanafunzi wako na uwe na Uhakika kwamba sasa Nitatenda kwa ujasiri zaidi bila kutokuonea wala kupendelea na niikijua ipo siku MUNGU mwenyewe, katika ukamilifu wake, atatuita kutoa hesabu ya matendo yetu na Sio Maneno yetu.
Tukutane baadae Nyumbani kwa baba, kusiko na Kuomboleza, kilio wala maumivu,Tutakapohesabiwa haki na Bwana's Mwenyewe.
Imenyamaza sauti dhabiti ya wanyonge, imenyamaza kimya kiranja mkuu na mkufunzi wapigania usawa kwa vitendo, Amelala Mjamaa Asiyetishika,Ardhi imemeza shujaa na kaka wa Taifa,Bwana Ataitia Nguvu Mioyo iliyosinyaa, wala Hataacha Taifa Lililolitetea Jina Lake liaibike kamwe.
Umetufunza ushupavu na misimamo imara,Nyayo na Kumbukumbu zako vitatupa hasira za kufanya kwa ajili ya Taifa .
Duh noma kweliBarua ndefu kama hii
Mtalia sana nyie takataka wa MATAGA bwana wenu yupo kuzimu kwa sasa
SABAYA anayo kazi aiseeNdugu yangu ukweli umeondokewa na kupungukiwa ulikanyaga Sheria upendavyo hakuna wa kukukemea ulidhalilisha watu ukaonekana shujaa,ulidhulumu watu na kufanya ujambazi wa mchana Ila waliotakiwa kukuwajibisha wakakulinda na kusema ni mtakatifu yote ujue hatujasaha km ubongo wako ulivyomsahaulifu Ila ss siku zako zinahesabibika suntashangaa siku nikija kukuona gereza la karanga hapo
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Yes yes ata sisi tuliowengi tunamtabiria makubwa sana yatakayo enda sambamba na maofu yake..Sabaya ni moja ya viongozi ninaowatabiria makubwa kwa nchi hii.
Sabaya ni hazina ya uongozi nchi hii.Yes yes ata sisi tuliowengi tunamtabiria makubwa sana yatakayo enda sambamba na maofu yake..
Lazima alipe mpaka doti ya mwisho Mungu halali!
Hazina iliyooza sio, na soon itaondolewa hili kuwekwa hazina inayostahiliSabaya ni hazina ya uongozi nchi hii.