enjai ya kyasha
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,065
- 3,585
Kwa hiyo Corona inakuja kuanzia sa nne na kuendelea au? Make kama sijamwelewa DC
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale Giraffe kuanzia kuanzia saa nne usiku Corona iko nyingi Sana!
[/QU
Watu wameshatimuliwa hata kwa fimbo
Ili kuepuka maambukizo lazima kuwepo umbali wa mita mbili mtu na mtu(social distance). Hili haliwezekani kwenye daladala bar, nyumba za ibada etc.