Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,069
- 3,600
Wadau hongereni kwa kazi hii kitu imevuma Sana Leo kwa wahusika hao kuvuta 60 mil toka kwa makarani wa pamba huko Wilaya ya Tanganyika hebu wajuvi mtupe nyama inakuwaje hii kitu maana Hawa jamaa inaonekana watu wa dili na kutakuwa na chain ndefu tu ya Kula mlungula
najua humu great thinker mtapambanua, povu ruksa
najua humu great thinker mtapambanua, povu ruksa