Nyamemba
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 845
- 446
mtakumbuka kuwa hawa wakubwa walikamatwa majuzi na askali wanyama poli wakichimba dhahabu ndani ya hifadhi kinyume utaratibu,sasa hivi vigogo hawa wamehamishwa vituo vya kazi ambapo dc amepelekwa RUKWA na RSO kapelekwa MTWARA hii ndo serikali inayolinda wahalifu.source SENAPA