DC Muleba: Nitaagiza mafisa elimu wakafundishe kuziba pengo la walimu

mjibu rahisi, kwenye mswali magumu.hujamaa ni mvivu wa kufikiri ile mbaya sijui kasomaje shule huyu! Au ndo mambo ya open unvsty!
 
mjibu rahisi, kwenye mswali magumu.hujamaa ni mvivu wa kufikiri ile mbaya sijui kasomaje shule huyu! Au ndo mambo ya open unvsty! SON LIKE FOTHER
 
Mambo mengine ukiyasoma hata logic hayana just silly afisa elimu na kufundisha wapi na wapi hivi huyu ana akili timamu kweli serikali DHAIFU hayo ndo ,mambo yake...wapeni hawa walim haki yao acheni utapeli usokuwa na maana.!
 
Kuchemka tuu kwa DC! maafisa elimu wapo wangapi katika wilaya yake? na ana madarasa mangapi ya GRADE 7 na GRADE 4 katika wilaya?? Au wanafunzi wa wilaya nzima watakusanywa uwanja wa wilaya na wafundishiwe hapo??

Hawa wanakimbizana na panadol wakati tatizo ni malaria!!!! WATIBU TATIZO....
 
mjibu rahisi, kwenye mswali magumu.hujamaa ni mvivu wa kufikiri ile mbaya sijui kasomaje shule huyu! Au ndo mambo ya open unvsty! SON LIKE FOTHER

Kasoma shule ya kata ila alirushwa madarasa kwa sababu alikuwa JINIASI..Haaahaaaaahaaa
 
huyo ndiye RAIS wa wilaya! un ategemea nini zaidi? na waliompa kazi wanaona amefanya vizuri sana,, hajawatia aibu, hajawadhalilisha na pengine kwa ushupavu na umakini wake hou katika utendaji na msishangae mkimsikia akitoa maelekezo na maagizo mengine zaidi wakati huo akiwa ameshapandishwa cheo kuwa mkuu wa mkoa au waziri wa elimu. wengi wa wakuu wa wilaya ni wa hiyo.
 
Ndiyo maana Chadema wanapendekeza hizi nafasi za ma-DC na ma-RC zifutwe, upuuzi mtupu.
 
Nimesikiliza kwenye ITV mkuu wa wilaya akiagiza maafisa elimu wa wilaya waende wakafundishe kwenye mashule kutokana na kuendelea kwa mgomo wa walimu.

Maagizo haya yananifanya niamini ukuu wa wilaya hauna maana katika hii nchi kwani hata watu wenye upeo hafifu kama wa huyo mkuu wa wilaya anaweza kuupata basi ni cheo kisicho na tija kwa taifa.

Nimejiuliza wilaya moja wapo maafisa elimu wangapi? watafundisha masomo gani na shule ngapi? Je, hiyo itasaidia kuondoa tatizo?

Nimejiridhisha wakuu wa wilaya hawahitajiki na nimeona aibu kwa mtu mzima kuongea ujinga kama ule mkuu mzima wa wilaya anaongea mawazo mepesi na dahifu kiasi hicho nimeona aibu ssana.

Sijaweza kulifahamu hata jina lake ni aibu kwelikweli.
mimi nilicheka sana hasa pale alipokuwa anaongea na watoto wadogo kama watu wakubwa,nikajiuliza hivi serikali imeshindwa kujadiliana na wakubwa wenzie sasa inafanya vikao na watoto.na jana ndio niliamini kwamba kumbe hata mwendawazimu anaweza kuwa mkuu wa wilaya.hivi vyeo vingine vifutwe ule wa jana ni ukichaa.
 
Jamani si angeomba ushauri kwanza kutoka hata kwa mkewe kuliko kukurupuka.
 
Back
Top Bottom