DC mteule ndugu "Mchopanga" alisoma shahada ya kwanza bila kuwa na matokeo ya kidato cha sita licha ya kuisoma kwa miaka mitatu

Mimi niliwahi fanya kazi nikiwa mwaka wa pili chuo Kikuu na Nilimpata ajira rasmi bila hata matokeo ya mwaka wa pili. Watu wanaangalia uwezo wa Mtu sio cheti.
Utaratibu wa kudaiana vyeti umetamalaki sana Tanzania na Africa kwa ujumla. Mimi nimeshawahi kuajiriwa na mashirika ya kimataifa nje ya Nchi ambayo hawakuwahi kunidai copies za vyeti ingawa nilipitishwa kwenye 3 rigorous interview processes.

Sina uhakika kama walifanya "due diligent" kuverify kama vile vyuo nilivyotaja kwenye CV nilipita na kuhitumu hapo kweli lakini itoshe kusema tu kwamba reference check yao iligusa maeneo niliyofanya kazi kabla na sio niliposema nimesoma.

Kibongobongo forgery za kutosha sana na ni sawa tu kucross-check elimu za baadhi ya hawa mabwana na mabibi wanaoteuliwa kutoka kusikojulikana kwenda kuongoza ofisi za Umma.
 
Mnashangaa kitu gani?

Kwani kusoma chuo kikuu mpaka usome Form Six?

Prof Mwandosya Mark J, hakusoma Form Six, Bali alisoma DIT Halafu akaenda udsm baadae Aston university

Wahindi kule Posta watoto wao wanasoma ulaya vyuo vikuu vya dollar 50,000 kwa mwaka walisoma form Six?

Wahindi wangapi wanafanya kazi Agha khan na Muhimbili tena mabingwa lakini mbona hawakusoma Form Six

Kenya wanaishia Form Four na kwenda chuo kikuu

Mimi niliwahi fanya kazi nikiwa mwaka wa pili chuo Kikuu na Nilimpata ajira rasmi bila hata matokeo ya mwaka wa pili,

Watu wanaangalia uwezo wa Mtu sio cheti

Kuna vyuo unafanyishwa mitihani kabla ya kuingia ukiweza hata ukiwa darasa la saba Unaanza masomo

Elimu hii ya Form Six ni kuwapotezea watoto muda na maisha ya kutafuta Pesa tu

Miaka miwili Form Five na Six, Mtoto anaweza kujifunza utaalamu wa programming na akawa nguli

Miaka miwili inatosha mtoto kusoma Software mbalimbali na kuwa nguli

Form six ni mfumo wa Uganda na Tanzania wa kishamba sana

Ukiwa na pesa na upo vizuri mtoto unamsomesha kuanzia chekechea ulaya unalipa dollar 60,000 kama Milioni 120 Kwa mwaka

Ukiwa na pesa huna haja ya kusoma elimu yetu hii ya kitanzania ya kupotezeana muda,

Mtoto akimaliza Form Four unamtafutia College Marekani au Uingereza anajifunza mambo ya maana hata mwaka baadae unamlipia chuo kikuu huko huko

Angalia wahindi kule Posta na ni matajiri jinsi watoto wao wanavyokuwa smart kichwani baada ya Form Four, Mtoto anapelekwa college ulaya bei dollar za kutosha


Wabongo tatizo pesa, Watanzania wachache wana uwezo wa kumlipia mtoto ada Milioni 200 kwa mwaka au Milioni 100 kwa mwaka

Watanzania Tuendelee na Bodi yetu ya mikopo huku tukilia lia Retention fee

Ahaaaa
Kenya wanatumia system ya 8 primary -4 secondary -4 chuo kikuu jumla ni miaka 16.
Tanzania 7 primary -4 o'level -2 Advance level -3 chuo kikuu jumla ni 16.

Ya Mwandosya ni kweli alisoma DIT , lakini ndio ulikuwa mfumo wa wakati huo na hata Prof Luhanga alisoma hapo DIT na Prof Mwandosya licha ya kuwa ndio mfumo ulivyokuwa pia alikuwa Genius ,
 
Niliposoma gazeti la MWANANCHI la leo ni kuwa yupo DC mmoja mteule ambaye anatokea kwenye tasnia ya wasanii ambaye alienda nchini India kwenye chuo kikuu cha Bangalore akisomea shahada ya kwanza kwenye mambo ya sanaa huku matokeo yake ya kidato cha sita yakiwa hayajatoka.

Kwa mujibu wa gazeti hilo ni kuwa Mchopanga huyo alipata udhamini na moja kwa moja kwenda kwenye masomo hayo kuanzia mwaka 2005 hadi mwaka 2009 ambapo aliondoka nchini na kudahiliwa chuoni hapo bila ya kuwa na matokeo hayo.

Upo uwezekano kuwa kwenye elimu ya huyu DC mteule kuna utata na usanii na hata shahada yake ni ya mambo ya usanii.

Anajisemea kuwa anatarajia kwenda chuo kikuu cha Dar es Salaam kusomea shahada ya pili kwenye mahusiano ya umma.

NB: Wapo marafiki zangu kibao waliotokea hapo Bangalore na kujitapa kuwa wana shahada ila walipoambiwa kuleta vyeti wengi wao ni ukweli walitunukiwa shahada zao za kwanza kwa kutumia matokeo ya vyeti vya kidato cha nne kama "Direct entry qualifications" na huenda Mchopanga ni mmoja wao. Je, NACTE wameanza lini kuthibitisha kuwa shahada za aina hii ni credible kwa nchi yetu?
U-DC sio taaluma na kama ilivyo kwa wabunge, kujua kusoma na kuandika ni vigezo tosha kwa mujibu wa Yohanna mwenda zake!
 
Ukiona mbongo kaenda kusoma Russia, China, India, Ukraine au Malaysia mara nyingi huwa ni kwenye vyuo ambavyo ni trash kabisa.

Ndio maana wengi huwa wanarudi hawajielewi.
Kuna point kubwa sana hapa, nina ushahidi wa watu zaidi ya sita katika hilo. Pia wengi wanakuwaga na matokeo ya kawaida sana.
Ukiona mbongo kaenda kusoma Russia, China, India, Ukraine au Malaysia mara nyingi huwa ni kwenye vyuo ambavyo ni trash kabisa.

Ndio maana wengi huwa wanarudi hawajielewi.
 
Nimekuandalia ati ameenda kufanya ziara kwenye shule amevaa rafu sana shati haifungi vifungo Hadi shingoni labaa tai imelegea kama yupo bar.

Nimemuangalia nikabaki kujisemea Hawa ndio vetting process ilifanyika? Halafu anaagiza walimu wahakikishe miti iliyopo shuleni haikatwi, that's all katumia mafuta ya serikali kwenda kuwaambia walimu ujinga mtupu.
 
Back
Top Bottom