Mwamitumai
Senior Member
- Jul 24, 2021
- 106
- 137
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmenEe Mola mwingi Wa rehema tunakuomba umsaidie huyu Mwanaume mwenzetu haka kaupepo kapite salama, ndoa yake ibaki salama na uhusiano wake na mchepuko urejewe na amani.
Amen.
Mmasai hana mchepuko huyo ni mke halali,wao wanalipa mahari ya ngombe tu na kuongeza wake..unakuta mtu anawake saba au zaidi..wao ndoa za kanisani hawanaDuh huu mchepuko kiboko unapata wapi ujasiri wa kumkunja mume wa mwenzio kama wako
Huyo dada ni mkewe kimasai ukishamlipia mwanamke ngombe kadhaa ni mkeo..wao ndoa zao za kimila unamiliki kadri uwezo wako...huyo dc kuna bar huwa wanakula hapo nyama choma na huyo mkewe.Malipo ni duniani, tatizo michepuko inajisahaulisha hii kanuni "usimzalie mume wa mtu"
Kwa mkewe akimbie mikojo, akija kwako tena akutane na mikojo...atakukimbia tu, huna uspesho huo!
Halafu mama mijengo tumekaa kikao tumeazimia kuwa hata wachepuke hatuondokii... Evelyn Salt
Wanaume niery compicated but simple human beigs.Why?
Ngoja nikuache maana sijui unamaanisha wanawake wa wapi ambao siyo kabisa.
Relax, Ni Baadhi ya wanawake tu mkuuNgoja nikuache maana sijui unamaanisha wanawake wa wapi ambao siyo kabisa.