waziri2020
Senior Member
- May 31, 2019
- 190
- 451
Too lateEe Mola mwingi Wa rehema tunakuomba umsaidie huyu Mwanaume mwenzetu haka kaupepo kapite salama, ndoa yake ibaki salama na uhusiano wake na mchepuko urejewe na amani.
Amen.
Why?Too late
Huyu mchepuko yupo vizuriKatika hali isiyo ya kawaida mkuu wa wilaya mstaafu nchini,Peter Kiroya Toima amejikuta katika wakati mgumu baada ya mwanamke anayetambulika kwa jina la Scolla Mollel anayedaiwa kuwa ni nyumba ndogo yake kumng'ang'ania nje ya hospitali ya St Thomas iliyopo jijini Arusha.
Tukio hilo la kushangaza lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo mwanamke huyo alionekana kumkunja shati DC huyo mstaafu aliyetumikia
Nimekuelewa ulipouliza picha ya mchepuko kama ni ya wakati huu?Hii picha ya mchepuko ni recent?
Mhhhh!!!, Lkn si ni mzee mwenzake?.DC aachwe tafadhali..
Huyo mama damu imeshapoa apumzike nyumbani
Mhhhh!!!, Lkn si ni mzee mwenzake?.
Ndo hivyo,ni kuvumiliana ktk shida na raha.Sasa kwa umri wa DC anatakiwa apate mtu mwenye damu ya moto, akikumbatia tu..kule mambo tayariii...
Sasa huyu mama mpaka wasuguane kikawe kitu ni leo?
Utakuta DC ameshapitiwa na usingizi