MTWA
JF-Expert Member
- Aug 5, 2009
- 1,166
- 166
Tatizo ni akili za hao wenye chama cha rangi mchangayikoHata Shetani hana roho mbaya kama watu wa chama cha kijani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni akili za hao wenye chama cha rangi mchangayikoHata Shetani hana roho mbaya kama watu wa chama cha kijani!
hapo shida ni wanaotafuta habari hizo na kutuleteA. ndiyolengo lao kumpaisha. sidhani ulikuwa mkutano kwaajili ya kujibu hilo. Ila wanaorekodi na kuenezaliendeleeHuu sio utaratibu wa uongozi. Kila kiongozi akijisikia kutamka anatamka tu!
Kwanini serikali nzima ipelekwe puta na mtu mmoja as if hakuna utaratibu?
Mnampaisha TL bila kujijua wenyewe? Waheshimiwa ni bora mkae kimya, mwacheni atapike nyongo muda ukifika atanyamaza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini hawa askari mnaosifia wameiva wanashindwa kuwakamata hao wavuta bange wa chadema?Hoja ina mantiki,mtu " profesheno" angepiga risasi mbili au tatu tu.sasa inahisiwa humu kama ni serikali imehusika means ni maofisa usalama au askari kwa namna yeyote( kwa mujibu wa mashabiki wa hili sakata humu) sasa mtu gani mwenye mafunzo aliyeiva apige risasi 30 halafu akose target! Tufikiri nje ya boksi kidogo.huyo kapigwa na wavuta bangi wenzake wa chadema huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wapuuzi ICC si waende kenya na Saudi arabia? Acha kutishia nyau. kwa lipi hapa tz.Nafasi ya U DC inamtosha kwa akili fupi dizaini yake.. Haya mambo ni makubwa sana kuzidi kimo chake....
ICC wapo nchini, wataondoka na wapuuzi wengi sana....
degree ya chupiHabari wanaJF,
Naona juhudi za kukanusha zinaendelea leo ameibuka Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni
DC Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu
Amedai kuwa Serikali ya Tanzania haina Askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa.
Chanzo: Dar Mpya
Kumbuka ubunge ulimshindaNamkubali sana huyu dada kwa uchapaji wake wa kazi namtabilia kufika mbali
Duuuh huyu aliingiliwa kinyume na maumbile na hao Askari Nini?Habari wanaJF,
Naona juhudi za kukanusha zinaendelea leo ameibuka Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni
DC Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu
Amedai kuwa Serikali ya Tanzania haina Askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa.
Chanzo: Dar Mpya
Mawazo ya kifala fala huwa hayaheshimiwiAmetoa mawazo yake tunayaheshimu
Mungu akiamua kukukinga hata upigwe Risasi 100 unaweza kuepuka kifoFikiria kwa makini bila upendeleo !! Kama kweli ni serikali ni risasi moja tu ! Askari aliyedhamiria kuuwa harudii risasi ya pili .
Sent using Jamii Forums mobile app
Watesi na boss wao wapo wanasoma hayaKushindwa kumuua lissu kwa kufyatua risasi 30 bure imewavua nguo kuwa hawako vizuri!
Lissu wapeleke hawa Death squad ICC....TuheshimianeHoja ina mantiki,mtu " profesheno" angepiga risasi mbili au tatu tu.sasa inahisiwa humu kama ni serikali imehusika means ni maofisa usalama au askari kwa namna yeyote( kwa mujibu wa mashabiki wa hili sakata humu) sasa mtu gani mwenye mafunzo aliyeiva apige risasi 30 halafu akose target! Tufikiri nje ya boksi kidogo.huyo kapigwa na wavuta bangi wenzake wa chadema huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo tusi unalijua weweSi ajabu kwako kutukan maana jina lako lenyewe tusi kubwa tu.
Anasema ukweli. TL anasema ni JPM. Jpm angetuma watu na risasi zote hizo za nini. kwanza si ingekuwa bastola moja tu ya mpitanjia. vile na cctv camera mnaswma hazikuwepo
Sent using Jamii Forums mobile app