johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,745
- 139,516
Mkuu wa wilaya ya Iringa mjini mh Kasesela amependekeza kuwa asilimia 10 ya michango ya harusi iwe inawekwa pembeni maalum kuwasaidia wasio na uwezo.
Kadhalika chakula kitakachobaki kwenye bufee kiwe kinapelekwa kwa watu wenye uhitaji kwani haipendezi kutupa chakula wakati wengine wana njaa.
DC Kasesela aliyasema hayo alipowatembelea watu wenye shida mbali mbali katika kitongoji cha Kihesa manispaa ya Iringa.
Source ITV
Kadhalika chakula kitakachobaki kwenye bufee kiwe kinapelekwa kwa watu wenye uhitaji kwani haipendezi kutupa chakula wakati wengine wana njaa.
DC Kasesela aliyasema hayo alipowatembelea watu wenye shida mbali mbali katika kitongoji cha Kihesa manispaa ya Iringa.
Source ITV