SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,895
Kufatia mgomo wa daladala manispaa ya Iringa mkuu wa wilaya ya Iringa Mr.Kasesela amepiga marufuku bajaj kufanya kazi.
Amepiga marufuku bajaji kutoka Ipogolo n Kitwiru kwenda Iringa mjini.
Amepiga marufuku bajaji kupita Dodoma road, bajaji za mkimbizi na Kihesa kilolo wakitaka wapite nyuma ya mlima wa mkwawa watokee Ikonongo hadi chuo cha mkwawa.
Amefukuza bajaji zote zilizokuwa zinapaki soko kuu.
Kufatia huu uamuzi vibaka wa Iringa waliokuwa wamejiajiri kwenye bajaji watarudj upya kukaba watu.
USHAURI: Daladala wakubali ukweli kuwa sasa hivi ni soko huria. Wawaache bajaji na bodaboda zifanye kazi.
Amepiga marufuku bajaji kutoka Ipogolo n Kitwiru kwenda Iringa mjini.
Amepiga marufuku bajaji kupita Dodoma road, bajaji za mkimbizi na Kihesa kilolo wakitaka wapite nyuma ya mlima wa mkwawa watokee Ikonongo hadi chuo cha mkwawa.
Amefukuza bajaji zote zilizokuwa zinapaki soko kuu.
Kufatia huu uamuzi vibaka wa Iringa waliokuwa wamejiajiri kwenye bajaji watarudj upya kukaba watu.
USHAURI: Daladala wakubali ukweli kuwa sasa hivi ni soko huria. Wawaache bajaji na bodaboda zifanye kazi.