#COVID19 DC Jokate punguza kuji-brand. Kwanini TMK Marathon na COVID hii?

Mh Jokate ndo kwanza una wiki ya kwanza kwenye wilaya hii baada ya uteuzi. Nakushauri ungeanza kujikita na kufanya assesment ya matatizo mbalimbali kwenye wilaya yako na kuyatafutia tiba. Instead umeanza na ileile tabia yako ya kujibrand ili uonekane.

Kumbuka hizi ni zama za SSH siyo za JPM. Kuna watu wanapiga kazi huko kama kina Mtaka, Kina Mtatiro na huwasikii na hizi ishu za kujitengenezea brand.

Tumesikia jana tu Mh. Rais ametuangazia kuwa kuna wagonjwa wa COVID , lakin pia tuna taarifa ya wimbi la tatu la ugonjwa huu.

Tumeona pia wizara ya afya ikianza kusisitiza hatua za kujikinga na ugonjwa huu ikiwemo mikusanyiko isiyo na lazima.

Tambua wewe ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya, ungeanzia huko kwanza kuliko kutengeza mikusanyiko isiyo ya lazima na michangomichango ya charity kwa ajili ya kugain popularity.

AWAMU HII SIYO YA MEDIA, TUPIGE KAZI NA TUONGEZE TAHADHARI DHIDI YA UVIKO-19


Shujaa Mwendazake:

Kwa mkoa wa Tmk ambao una vitega uchumi vingi angekuja na mpango mkakati labda kama upo nyuma ya hilo bado ubunifu unahitajika. Maana tusiunge mkono wazo lake tukasahau Uviko-19 Sehemu Ya 3.

Tuamke sasa muda hautoshi twende na ufumbuzi wa matatizo kwa jamii na si hoja ya mtu binafsi pekee.
 
Hivi marathon Ina msaidiaje Raia wa temeke,maana temeke inahitaji Mambo ya msingi kuliko hizo show off, au Jojo cheo Cha afisa michezo wilaya kina mfaa
 
Kwani hali ya covid 19 nchini ikoje? hadi sasa hakuna takwimu za covid 19 hivyo hatujui hali ikoje, tumekuwa tukiendelea na shughuli zetu kama kawaida(tofauti na wengine) kama ni tahadhari basi ilitakiwa kipindi chote hichi tuwe tunachukua tahadhari kama wanavyofanya wengine ila sio kuanza kuambiana kuepuka mikusanyiko sasa hivi kwa sababu et kuna wimbi la tatu wakati hata hatujui hali yetu ya corona nchini ikoje maana hatupimi.
 
Mh Jokate ndo kwanza una wiki ya kwanza kwenye wilaya hii baada ya uteuzi. Nakushauri ungeanza kujikita na kufanya assesment ya matatizo mbalimbali kwenye wilaya yako na kuyatafutia tiba. Instead umeanza na ileile tabia yako ya kujibrand ili uonekane.

Kumbuka hizi ni zama za SSH siyo za JPM. Kuna watu wanapiga kazi huko kama kina Mtaka, Kina Mtatiro na huwasikii na hizi ishu za kujitengenezea brand.

Tumesikia jana tu Mh. Rais ametuangazia kuwa kuna wagonjwa wa COVID , lakin pia tuna taarifa ya wimbi la tatu la ugonjwa huu.

Tumeona pia wizara ya afya ikianza kusisitiza hatua za kujikinga na ugonjwa huu ikiwemo mikusanyiko isiyo na lazima.

Tambua wewe ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya, ungeanzia huko kwanza kuliko kutengeza mikusanyiko isiyo ya lazima na michangomichango ya charity kwa ajili ya kugain popularity.

AWAMU HII SIYO YA MEDIA, TUPIGE KAZI NA TUONGEZE TAHADHARI DHIDI YA UVIKO-19


Huyu mweupe kichwani ni muuza sura tu
 
Mazoezi yanapunguza uwezekano wa kuteseka na hiyo corona au kuipata kabisa,acha Mhe afanye kazi
sio lazima ukafanyie mazoezi kwenye marathon. hata hapo ulipo unaweza ukafanya mazoezi, ni suala la maamuzi tu.

kwangu mimi mikusanyiko ya marathon ni sehemu ya ku-socialize na kutengeneza connection. rejea matukio yaliyoripotiwa katika kilimanjaro marathon.
 
sio lazima ukafanyie mazoezi kwenye marathon. hata hapo ulipo unaweza ukafanya mazoezi, ni suala la maamuzi tu.

kwangu mimi mikusanyiko ya marathon ni sehemu ya ku-socialize na kutengeneza connection. rejea matukio yaliyoripotiwa katika kilimanjaro marathon.
Sawa,ila yeye ndio ameona asocialize kupitia marathon,hakuna matata kabisa
 
Hivi marathon Ina msaidiaje Raia wa temeke,maana temeke inahitaji Mambo ya msingi kuliko hizo show off, au Jojo cheo Cha afisa michezo wilaya kina mfaa
Akawe anahangaika na UMISETA, UMISHUMTA
 
kama kipaombele chake cha kwanza ktk majukumu yake ya u-DC ni ku-socialize na wana temeke kwa njia ya marathon, basi sawa.
Shida wabongo tunataka kila kiongozi afanye tunachokifikiri sisi wakati na yeye ana fikra zake kutokana na vipaumbele vyake
 
Mh Jokate ndo kwanza una wiki ya kwanza kwenye wilaya hii baada ya uteuzi. Nakushauri ungeanza kujikita na kufanya assesment ya matatizo mbalimbali kwenye wilaya yako na kuyatafutia tiba. Instead umeanza na ileile tabia yako ya kujibrand ili uonekane.

Kumbuka hizi ni zama za SSH siyo za JPM. Kuna watu wanapiga kazi huko kama kina Mtaka, Kina Mtatiro na huwasikii na hizi ishu za kujitengenezea brand.

Tumesikia jana tu Mh. Rais ametuangazia kuwa kuna wagonjwa wa COVID , lakin pia tuna taarifa ya wimbi la tatu la ugonjwa huu.

Tumeona pia wizara ya afya ikianza kusisitiza hatua za kujikinga na ugonjwa huu ikiwemo mikusanyiko isiyo na lazima.

Tambua wewe ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya, ungeanzia huko kwanza kuliko kutengeza mikusanyiko isiyo ya lazima na michangomichango ya charity kwa ajili ya kugain popularity.

AWAMU HII SIYO YA MEDIA, TUPIGE KAZI NA TUONGEZE TAHADHARI DHIDI YA UVIKO-19


Ubunifu wake woote umeishia kwenye marathoni😅😅😅
 
kama kipaombele chake cha kwanza ktk majukumu yake ya u-DC ni ku-socialize na wana temeke kwa njia ya marathon, basi sawa.
Huyu Mwamba mama naona anajitafutia kifo cha kisiasa. Kisarawe kafanya mamarathoni kila mwezi kahama nayo temeke. Huyu akipelekwa Newala atafanya marathiloni. Ndio uwezo wake unapoishia.

Ngoja tusubiri Nikki wa Pili naye atakuja na Weusi😆😆
 
Samahani huyo antony mataka mbona mnamsifia mno...? Kip cha maana alichokifanya?
Kama una ndugu yako kapewa uDC ama uRC mwambie akapate tuition kwa Mtaka. Huyu ndiye DC/RC bora kuwahi kutokea Tanzania.

Unauliza amefanya nn?
  • ni mbunifu wa fursa za kiuchumi
  • ni mtu asiyejikweza i.e hakibebi cheo mabegani .
  • anajichanganya Sana na wananchi.

DC/RC yupi unamfahamu ana sifa hizi??
 
Back
Top Bottom