Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,495
- 51,089
- Thread starter
- #181
Asante sana kwa kuliona hiloDereva wa Jokate, ujumbe umefika, najua madereva wa hawa ma-viongozi vijana wasio olewa [SUKARI -MAMMY] mnapata shida sana, ujumbe umefika , Jei-wa-insta-mwaga-maa atamfunda, ni mama yake mdogo.
Mara nyingi fact na ukweli huwa havijali kama majority wanaviunga mkono au la.
Naamini Jokate baada ya kuusoma uzi huu ujumbe umemfikia, Si busara kiongozi mkubwa kama yeye kuacha wazi kifua chake nje. Sisi wananchi tunamtizama kama kiongozi zaidi kuliko tunavyomuona katika enzi za kazi zake za ulimbwende.
MAVAZI HUBEBA HAIBA YA KIONGOZI