Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 7,866
- 13,287
Tanzania ni ndogo sana ukidanganya ujue kuna watu wanakuchora Mkuu.
Kama unaongelea ile ChemChem Primary wazazi wamewaambia mkasomeahe watoto wenu hawawezi kulipa ada ya laki 5.
Mama Kuku mmemfanya nini hivi?, na vipi mchango wa Rotaty International pale?.
Kwa taarifa current wameona iyo shule bora wafundishe kiswahili tu, kwanini? Waalimu mmekosa au?
Mkuu naomba usipotoshe ujue watu wapo Tz nzima usije muaibisha Mheshimiwa DC
Kama unaongelea ile ChemChem Primary wazazi wamewaambia mkasomeahe watoto wenu hawawezi kulipa ada ya laki 5.
Mama Kuku mmemfanya nini hivi?, na vipi mchango wa Rotaty International pale?.
Kwa taarifa current wameona iyo shule bora wafundishe kiswahili tu, kwanini? Waalimu mmekosa au?
Mkuu naomba usipotoshe ujue watu wapo Tz nzima usije muaibisha Mheshimiwa DC