jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,052
- 28,242
DC Jerry Muro ni DC kijana na mchapa kazi kwani katika wilaya yake anewezesha uanzishwaji wa Shule ya mchepuo wa kingereza yaani English Medium.
Katika mkoa wa Arusha kuliwahi kuwa na Shule ya English Medium ijulikanayo kama Arusha School ambayo mfadhili wa Simba Mo Dweji alipata kusoma hapo. Shule hiyo ni ya Serikali.
Leo hii kijana mpambanaji na mlokole ndugu Jerry Muro ameweza kujenga Shule nyingine ya mchepuo wa kingereza ambayo itashindana na shule binafsi.
Kongole kwake..
Katika mkoa wa Arusha kuliwahi kuwa na Shule ya English Medium ijulikanayo kama Arusha School ambayo mfadhili wa Simba Mo Dweji alipata kusoma hapo. Shule hiyo ni ya Serikali.
Leo hii kijana mpambanaji na mlokole ndugu Jerry Muro ameweza kujenga Shule nyingine ya mchepuo wa kingereza ambayo itashindana na shule binafsi.
Kongole kwake..