Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Iko hivi, Serikali ilitoa milioni 700+ kwa ajili ya ukarabati wa shule.
Pesa imeingia kama leo, kesho yake headmaster anapokea barua ya uhamisho kwenda shule nyingine wilaya hiyo hiyo kama headmaster.
Kisa cha kuhamishwa anadaiwa kutokuwa na mahusiano mazuri na wenzake, pia hakupewa muda wala barua ya kumuita ahojiwe makosa yake.
DC kawasomea mwongozo wa hizo pesa headmaster atakuwa msimamizi mkuu na ndiye atasimamia pesa zote na kamati zitakazoundwa.
Akasema hapa ndipo tatizo.
Wambieni hilo dili sio serikali ya Magufulii huyu headmaster hatoki na mkurugenzi kaambiwa aandike barua kufuta huo uhamisho.
Aisee bado TAMISEMI hawajashtuka hii sio serikali ya dili kama walivyozoea enzi hizo, inasikitisha sana.
Well done Mr DC salute kwako mzee wa Hai.
Pesa imeingia kama leo, kesho yake headmaster anapokea barua ya uhamisho kwenda shule nyingine wilaya hiyo hiyo kama headmaster.
Kisa cha kuhamishwa anadaiwa kutokuwa na mahusiano mazuri na wenzake, pia hakupewa muda wala barua ya kumuita ahojiwe makosa yake.
DC kawasomea mwongozo wa hizo pesa headmaster atakuwa msimamizi mkuu na ndiye atasimamia pesa zote na kamati zitakazoundwa.
Akasema hapa ndipo tatizo.
Wambieni hilo dili sio serikali ya Magufulii huyu headmaster hatoki na mkurugenzi kaambiwa aandike barua kufuta huo uhamisho.
Aisee bado TAMISEMI hawajashtuka hii sio serikali ya dili kama walivyozoea enzi hizo, inasikitisha sana.
Well done Mr DC salute kwako mzee wa Hai.