johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,902
- 141,842
Mkuu wa wilaya ya Temeke Godwin Gondwe amesema serikali ya Rais Magufuli hairidhishwi na kasi ya mkandarasi katika mradi wa ujenzi wa miundombinu ya mwendo kasi wilayani Temeke.
Gondwe amempa miezi mitatu mkandarasi huyo kupeleka mpango kazi wa ujenzi huo ofisini kwake.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Gondwe amempa miezi mitatu mkandarasi huyo kupeleka mpango kazi wa ujenzi huo ofisini kwake.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!