DC Betty Mkwassa (CCM) amewaagiza wanawake kuwanyima unyumba Waune zao!!!!!



Wakati akicheza netiboli (akiitwa Elizabeth Chalamila wakati huo) alikuwa burudani kubwa sana
 
Hii inaonesha namna ambavyo ubongo wake ulivyo bize na mabo ya ngono!
Mbona kuna njia zaidi ya saba juu ya Birth Control!
 
Umewahi kuona mechi ya netiboli? Enzi hizo Nje Cup pale Railway Club Gerezani......mapaja nje nje

Ok basi ndio maana wakampa u DC,si unajua CCM huwa wanaangalia vigezo kama hivyo?
Hili ni janga la kitaifa.
 
jamaa ni kocha wa Twiga star, loh! sipati anavyowanyoosha viungo wachezaji wake, hata km miguu imekomaa, twende mbere kwa mbere upate namba twiga star.
 
Hivi huyu Betty mwenyewe ana mtoto hata mmoja kweli? mwenye nyeti atujuze sababu nina wasiwasi mkubwa sana.
 
Nahisi alimaanisha kuwanyima wakati wakina mama wakiwa kwenye Siku za uzazi.
 
Kwani amekosea wapi? Mnanyimwa unyumba siku ambazo ni hatari. Wanaume mmemind, mnataka daily eeh?
 
Tanzania ni zaidi ya uijuavyo jamani huko kijijini Tinai Tarafa ya Mundemu Bahi mnakufahamu lakini? nadhani CD BETTY MKWASA ameona uduni/ugumu unaowakabili wananchi familia moja unakuta inawatoto hadi kumi kwa hali ya sasa.nimewahi fika huko nakufahamu vzr
 
Back
Top Bottom