DC Arumeru tusaidie wakazi wa Kiseriani na shida ya maji

Hamiyungu

JF-Expert Member
Sep 9, 2009
567
714
Tumekua na shida ya maji kwa muda mrefu sana,shughuri nyingi zinakwama kwa kukosekana kwa maji maana eneo hili hata uchimbe chini hupati,kuna watu wamechimba miaka miwili bila kupata maji.


Tumefuatilia sana idara ya maji arusha tukaambiwa mpaka wajenzi wa barabara ya east africa waweke sehemu ya kuvushia mabomba,hatimaye wachina wanao jenga barabara hiyo wakaweka hiyo sehem lakini mpaka leo hatujapata maji na maji hayo yapo upande wa pili tu wa barabara.

Tafadhali tunakuomba utasaidiae tuweze kupata maji eneo hili la kiseriani.
 
Mimi nauliza tu humu watu wanasema kaskazini ndiyo yalikoanzia Maendeleo hata kabla ya mkoloni iweje tena kuwe na shida ya maji? Msitolee povu nimeuliza tu luambo makiadi
 
Mimi nauliza tu humu watu wanasema kaskazini ndiyo yalikoanzia Maendeleo hata kabla ya mkoloni iweje tena kuwe na shida ya maji? Msitolee povu nimeuliza tu luambo makiadi
ni sahihi kabisa, maendeleo makubwa yapo kaskazn na ndio waasisi,hata ukiangalia takwimu za serikali utaona mikoa ya kaskazini ndio inayoongoza kuwa na kiwango kidgo Cha umaskini kulinganisha na mikoa mingine
changamoto ya maji eneo alilosema mtoa post haiondoi ukweli huu
alafu mtoa post hajasema maji Hakuna Bali kasema maji yapo upande wa pili tu wa barabara ni teknolojia tu inahitajika kuyavusha upande wa pili
hii ni tofauti na
kuwa sehemu isiyo na huduma hiyo
 
ni sahihi kabisa, maendeleo makubwa yapo kaskazn na ndio waasisi,hata ukiangalia takwimu za serikali utaona mikoa ya kaskazini ndio inayoongoza kuwa na kiwango kidgo Cha umaskini kulinganisha na mikoa mingine
changamoto ya maji eneo alilosema mtoa post haiondoi ukweli huu
alafu mtoa post hajasema maji Hakuna Bali kasema maji yapo upande wa pili tu wa barabara ni teknolojia tu inahitajika kuyavusha upande wa pili
hii ni tofauti na
kuwa sehemu isiyo na huduma hiyo
Kumbe na maskini wapo
Basi nimeshakuelewa ligi yenu nawaachia na ndugu zako wa kagera
 
Back
Top Bottom